Umuhimu wa ndoa kwako

Umuhimu wa ndoa kwako

1: status; hata uwe na wake mia bila hela utaishia kuitwa mjinga usie na akili
2: Mipango; bila hela hakuna mipango itakayopangika zaidi utakesha ukiota mipango,,,, na ukioa kilaza ndo kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!! utahisi una mikosi ya kila rangi.
3: Watoto; yes watoto ni furaha na faraja baraka kutoka kwa mungu..... but bila hela utawaona ni mzigo na kuchukia mama yao eti haijui nyota ya kijani anaijua ya bluu tu!!!!!!!!!!!!!
Ushauri; tafuta hela,, pata hela,,, waza kuoa over!!!!!"

Kutokana na coment yako bomba nimeona sina cha kukupa zaidi ya kiss.....MMMWAAAAAAAAAAAAH............Lakini sio shavuni........................
 
Mimi naoana yote sawa tu la muhimu ni upatikanaji wa papuchi na kupunguza gundi......
 
Mkuu,hata mimi ni mhanga wa hili jambo la "tafuta pesa ndio uoe"

Leo nimefikisha um ri ambao nilitakiwa angalau niwe hata na mtoto mmoja,lakini vyote sina,hela sina na ndoa sina

Tunajilisha uongo na tunalishwa uongo sana mkuu ......!!

watu wengi tumeathirika na hii hali unatafuta pesa ndo uoe. shidaa sana
 
Ameniambia mimi. Siyo kila kitu lazima kiandikwe ndio kichukuliwe ni maagizo ya Mungu. Mathalani ni wapi imeandikwa mwanamke kunyonya dushe la mwanaume ni dhambi. Je kwakuwa haijaandikwa kwahiyo ni ruksa?
WARUMI
3 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika
tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata
wakavunjiana heshima miili yao.
24 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu
kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na
kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa
milele. Amina.
25 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao
za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya
asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
26 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha
matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa,
wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata
nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo
haki yao.
 
Mungu anapenda wote....maskini kwa matajiri. Matajiri wanapendwa ndio lakini pesa zao zinawaweka mbali na Mungu

Ahsanta kwa jibu murua. Mungu anawapenda matajiri. Kwahiyo hakuna ubaya wa mtu kutafuta pesa, right?

Unajua maskini wengi sana wanamkufuru Mungu??
 
Ahsanta kwa jibu murua. Mungu anawapenda matajiri. Kwahiyo hakuna ubaya wa mtu kutafuta pesa, right?

Unajua maskini wengi sana wanamkufuru Mungu??

Anawapenda wote.....
 
WARUMI
3 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika
tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata
wakavunjiana heshima miili yao.
24 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu
kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na
kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa
milele. Amina.
25 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao
za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya
asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
26 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha
matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa,
wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata
nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo
haki yao.

Matumizi yasiyo ya asili ni yapi mama? Hebu nambie mwanamke akivaa viatu amekiuka matumizi ya asili ya kutembea peku? Je ni dhambi?
 
Hela ninayoongelea hapa ni ile ya kutumiza wajibu wako ww mume like kumnunulia mkeo gari analotaka,,, simu,,, hosp yenye hadhi,,, vaccation once in while,,, nyumba nzuri,,, shoping aitakayo sio aishi maishi ya ndotoni kila siku kusadikika

Upeo wako WA mwisho kufikiri ni PESA tuu, pesa zisizo na idadi kamili!! bado hadi sasa hujajua definite amount of money worth for you!!!
Think of ideas first then materials will follow you!!!
Unatoka kwnye necessary demands unakimbilia kwnye luxurious ones!!!!
Hekima & busara hata mfalme Suleiman aliiomba kwa Mungu licha ya Ukwasi wake woooote!!!

tinna CUTE!!!!
 
Last edited by a moderator:
Matumizi yasiyo ya asili ni yapi mama? Hebu nambie mwanamke akivaa viatu amekiuka matumizi ya asili ya kutembea peku? Je ni dhambi?

Hapo anaongelea mambo ya kuvaa au anaongelea mapenzi...wacha kujitoa ufahamu babu...kuwaka tamaa na kuvaa viatu kunahusianaje
 
Bila hela huyo mke utamtunza na nn??????
Sir god atakutimizia kila kitu bila ww kuzisaka pesa?????
Marriage is all about money!!!! siku moja utakubali nisemayo

Unafikiri pesa itayotosha kutunza mke kwa akili yko ni kiasi gani??!! Don't be too subjective try objectivity!!!
Who told you that marriage is all about money??
marriage zilizokuepo kabla ya invention ya hela ziliishije??! Think outside the box!!!
You even seem far from holy scriptures!!!
Struggle for Excellence, Success will follow You tinna
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,hata mimi ni mhanga wa hili jambo la "tafuta pesa ndio uoe"

Leo nimefikisha um ri ambao nilitakiwa angalau niwe hata na mtoto mmoja,lakini vyote sina,hela sina na ndoa sina

Tunajilisha uongo na tunalishwa uongo sana mkuu ......!!

Eiyer, usiangalie flani amesemaje, wengi wanaongozwa na unafiki tu. Cha msingi ni kufuata kanuni ulizojiwekea.

Unaweza kujichelewesha kuoa kisa unatafuta pesa, bahati mbaya usiipate hiyo pesa na hata familia uchelewe kuwa nayo. Huwa haya meneno ya "tafuta pesa ndio uoe" yanatoka kwa singles. Labda tungepata insights za wanandoa tungeweza kuoanisha hili swala la pesa na ndoa kwa urahisi zaidi. Coz naona linaleta sintofahamu kubwa katika kizazi chetu.
 
Last edited by a moderator:
Sipendi kubishana na mtu mwenye imani haba,sikusema matajiri hawataingia peponi nimesema kama wanapendwa na MUNGU basi wangeingia wote peponi, lkn wataingia waja wema tu bila kujali hali zao.
Kwahiyo umekubakubaliana na mimi kuwa Mungu anawapenda wenye pesa, right?
 
Kusema "ni vigumu kwa tajiri kuingia mbinguni" kunajustify kuwa Mungu hawapendi wenye pesa?
Hapana,lakini inaonesha kuwa mali na kwenda kwa Mungu ni kama maji na mafuta japokuwa wakati mwingine inawezekana

Mali zilizoko duniani mmiliki wake [kwa muda] ni shetani na ndio maana alimwambia Yesu kama angemsujudia angempa vyote,asingedai kutaka kumpa kitu ambacho sio chake kwa wakati ule

Hivyo kuna uhusiano kati ya mali na shetani
Kama angekuwa hawapendi wenye pesa....kwanini tumeelekezwa tupeleke sadaka ghalani mwa Bwana?
Mkuu,kwani hapa mnazungumzia pes au utajiri?

Maana hivyo ni vitu viwili tofauti!
 
Back
Top Bottom