Bila hela huyo mke utamtunza na nn??????
Wewe unavyojua matunzo ni kitu gani?
Kuna watu hawana pesa na kke anatunzwa na hana maradhi,sijui kama unalijua hilo
Kwa akili yako ya ajabu naona unaweza kudhani kutunzwa ni kuwa na iPhone 5,kwenda saloon,kuwa na Gari,kuwa na nyumba kali na mengine ya kufanana na hayo,hayo sio matunzo bali ni matatizo tu
Binadamu ana mahitaji yake ya msingi,akishapata uwezo wa kuyatim iza hayo mengine ni utashi tu,binadamu anahitaji kula bila kujali anakula chakula gani na cha gharama gani, kulala bila kujali analala kwenye kitanda cha gharama gani,kuvaa bila kujali anavaa nguo ya gharama gani na mengine ya kufanana na hayo
Najua unaweza kuniona kama mwendawazimu fulani hivi lakini najua ni kwasababu hujui kitu kuhusiana na ukweli wa maisha,ngoja ukiendelea kuwepo kwenye dunia hii utakuja kukumbuka haya
Sir god atakutimizia kila kitu bila ww kuzisaka pesa?????
You know nothing about God,so acha kabisa kuen delea kujionesha vile ambavyo hujui kitu
Mungu unamjua wewe?
Yaani kwa akili yako kama ya panzi unadhani Mungu anategemea kitu ambacho binadamu amekitengeneza ili afanye mambo yake,wewe ni wa kuhurumiwa kabisa
Marriage is all about money!!!!
Hebu acha kuchekesha watu we binti,hujaolewa halafu unadai ndoa ni pesa,sijui kama uko sahihi wewe
Acha kuishi kwenye ndoto,tafuta watu ambao wamekua na wamekaa muda mrefu kwenye ndoa halafuy waulize kwa adabu halafu uone watakuambia nini cha kujifunza kama unataka kuishi maisha halisi
siku moja utakubali nisemayo
Labda cha kukumbuka kuhusu hili ni vile ambavyo nilivyocheka nilivyosoma haya maelezo yako!