Umuhimu wa ndoa kwako

Umuhimu wa ndoa kwako

Hela huwa haitoshi milele atafute mpaka lini?

Mie nadhani hata kufikiri kwetu kunazidi kupungua. Na Mara nyingi ambao hawako kwenye ndoa ndio wanaweka vigezo vya pesa coz hilo ndio linaonekana la muhimu kuliko yote.
...pesa haiishi kutafutwa. Eti tafuta pesa ndio uoe...!
 
Kwa msisitizo hela ni muhimu,Ndio maana inafika miaka 2 ndoani watu wamechokana kisa mipango haiendi,kulumbana tu,kulalamika etc

Ni ndoa gani unazo zungumzia? Kuna za kikristo na nyinginezo.za kikristo;mpaka tunafikia kuoa ni baada ya kusoma,na kupata kazi/kujiajiri,na kufanya tathimin juu ya uwezo wa kumudu kutunza familia ,na kushirikisha ndugu kukusiadia kufika lengo la ndoa.Kwa mfumo wetu ndoa ni zaidi ya baraka,heshima.LABDA HIZO NYINGINE
 
1: status; hata uwe na wake mia bila hela utaishia kuitwa mjinga usie na akili
2: Mipango; bila hela hakuna mipango itakayopangika zaidi utakesha ukiota mipango,,,, na ukioa kilaza ndo kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!! utahisi una mikosi ya kila rangi.
3: Watoto; yes watoto ni furaha na faraja baraka kutoka kwa mungu..... but bila hela utawaona ni mzigo na kuchukia mama yao eti haijui nyota ya kijani anaijua ya bluu tu!!!!!!!!!!!!!
Ushauri; tafuta hela,, pata hela,,, waza kuoa over!!!!!"

Hivi usipokua na mpango wa kununua gari au kujenga nyumba kwa mfano, utatafuta hela ili uifanyie nini?Mi nadhani watu wanaitafuta hela wakiwa tayari wana mipango wa nini matumizi ya hizo fedha.
 
1, ukioa bila hela unatunzaje huyo mke/wak!!!!!!!!! ndo maana michepuko inazidi coz mume anashindwa kutimiza wajibu financially though stms for fun
wanaoongoza kwa michepuko ni wanaume walio na hela au ni wanawake walioolewa na wanaume wasio na hela nyingi? Michepuko inachochewa zaidi na Tamaa au umasikini au utajiri?
2, Mipango bila hela ni sawa na kitanda bila mke,,,, tafuta hela then panga cha kufanyia!!!!!!!!!!
Kuna mipango ya kutafuta hela, na mipango ya kutumia hela. ukiwaza upande mmoja tu wa shilingi itakusumbua. lazima uwe na yote kwa wakati mmoja.
Kuna ndg yng mmoja husema ivi " maskini wana mipango mizuri sana lkn hawajui kutafuta hela" so akitaka new idea anaita rfk yke maskini sana na anapata idea nzuri sana. so ni bora upoteze muda kuzisaka pesa kuliko kuwekeza kwny mipango...
Sijui ninaposema mipango unachagua kuamini nini. una point ya msingi ila haina corelation na ninachojaribu kukisema... Unaona, unapanga, unatake over. Hela haiji tu... lazima uwe na mipango ya kuzipata, mipango ya kuzibakisha na kuendelea kuziongeza.... ukiacha kimoja wapo utakuwa unazunguka tu hapo ulipo.
3, hapo inategemea ke/me kaolewa kwa sababu gani!!!!!! mwngne anaolewa akae mda fulani aombe taraka apate mgao
Hii ipo kwa wazungu sana au kwa wabongo wachache sana walioshauriwa vibaya,
kwa case ya furaha ndoa za maskini zina furaha coz mwanaume hana kitu atakua mnyenyekevu balaa deki atapiga na ugali atasonga bajeti ya nyanya1 moja mtapiga wote kasheshe apate mbona utakoma!!!!!!!!! atatafuta mwny hadhi yake...... uliza walioanza frm the scrach wakapata wakwambie moto wake ulivyo
Hao unaosema masikini wana jeuri saana kwa taarifa yako. Labda ukute ameoa mtoto wa tajiri au mdada mwenye hela kumshinda yeye kama hatokuwa makini na kucheza karata yake vizuri inamlazimu kuwa hivyo...

''Money talks but has nothing to say'' again ''Money is a good servant but a very bad master''. Whatch out how you treat money, can be either your servant or your master... choose wisely and be the MASTER.
 
Mie nadhani hata kufikiri kwetu kunazidi kupungua. Na Mara nyingi ambao hawako kwenye ndoa ndio wanaweka vigezo vya pesa coz hilo ndio linaonekana la muhimu kuliko yote.
...pesa haiishi kutafutwa. Eti tafuta pesa ndio uoe...!

Mkuu,hata mimi ni mhanga wa hili jambo la "tafuta pesa ndio uoe"

Leo nimefikisha um ri ambao nilitakiwa angalau niwe hata na mtoto mmoja,lakini vyote sina,hela sina na ndoa sina

Tunajilisha uongo na tunalishwa uongo sana mkuu ......!!
 
Niambie Mungu yupi unayemjua wewe anayependa umaskini...

God of Abraham,Isack and Jacob .....

That's why alisema "ni VIGUMU kwa tajiri kuingia Ufalme wa Mbinguni"

Unaijua sababu?
 
kuwa bachelor kuna raha sana jamani kuliko kuoa
Hasara
  • Siku ukiugua ugonjwa wowote (AIDS) ukalazwa, hakuna hata mmoja katika hao malaya atakayekuja kukugeuza au kukuletea licha ya kukubip ktk simu yako
  • Kwetu km ni mwanamume asiye na mke akifa wakati wa kumsafisha tunamshambulia (gunzi au kibanzi cha mti) kwenye njia ya haja kubwa kwani huko aendako tunaamini watamshighulikia
  • utakapokoma kupanda mbegu na huna watoto ndipo utakapojuta kwani hakuna wa kumtuma au kuongea naye
Faida
  • Raha ya Mke ni faraja na mazungumzo pindi ukiwa, ukimya, majonzi, msiba hata ujirani utapata wa pande zote
  • utaongeza ukoo na jina lako
  • Raha ya Watoto wanaia faraja na changamoto hasa wanapokuwa na wenzao inapofika zamu ya kuwatangaza au kuwasifia wazazi wao (mm Baba yangu ni Boxer, mm ana Gari, mm ni Dr, mm ni Rais, mm ni Mbunge
  • Raha ya kuitwa mzazi mbele ya wenzako ni kubwa kwani hatua ya mbeleni
 
Aisee pesa ndio kula kitu na hio amanii unayoona katika ndoa za watu na kupata taama ya kujiingizaa ni pesaa ndugu yangu! Tafuta pesa halafu tafuta kisu kikalii dunia itakujuaa tuuuuu ndugu

Nimegundua kinachowasumbua wengi ni ujinga [kutokujua]

Kwanza nina uhakika hata hujui amani ni nini,halafu ninauhakika wewe bado hujaona mambo mengi sana humu duniani

Halafu hujui kabisa hata unachoandika na hili ni tatizo kubwa sana

Unawasemea watu wengine utadhani hata unawajua wote hao "wanaojiingiza kwenye ndoa kwasababu ya tamaa ya pesa"

Unafikiria kila mtu anataka dunia imjue

Kazi ipo kubwa sana!
 
Nimegundua kinachowasumbua wengi ni ujinga [kutokujua]

Kwanza nina uhakika hata hujui amani ni nini,halafu ninauhakika wewe bado hujaona mambo mengi sana humu duniani

Halafu hujui kabisa hata unachoandika na hili ni tatizo kubwa sana

Unawasemea watu wengine utadhani hata unawajua wote hao "wanaojiingiza kwenye ndoa kwasababu ya tamaa ya pesa"

Unafikiria kila mtu anataka dunia imjue

Kazi ipo kubwa sana!

Sawa mkuu! Si kila MTU anatakaa dunia imjue! Ila maneno yangu si sheria Kama wewee unaushaurii mzuri Sana sio mbaya pia mwambie aoe hailazimishwi mkuu ila Mimi naishii kwenye dunia nyingine ya kutafuta pesa na kuvuta vitu vikali vya kuzingua dunia ndio maana nkasema hivyo.
 
Bila hela huyo mke utamtunza na nn??????
Wewe unavyojua matunzo ni kitu gani?

Kuna watu hawana pesa na kke anatunzwa na hana maradhi,sijui kama unalijua hilo

Kwa akili yako ya ajabu naona unaweza kudhani kutunzwa ni kuwa na iPhone 5,kwenda saloon,kuwa na Gari,kuwa na nyumba kali na mengine ya kufanana na hayo,hayo sio matunzo bali ni matatizo tu

Binadamu ana mahitaji yake ya msingi,akishapata uwezo wa kuyatim iza hayo mengine ni utashi tu,binadamu anahitaji kula bila kujali anakula chakula gani na cha gharama gani, kulala bila kujali analala kwenye kitanda cha gharama gani,kuvaa bila kujali anavaa nguo ya gharama gani na mengine ya kufanana na hayo

Najua unaweza kuniona kama mwendawazimu fulani hivi lakini najua ni kwasababu hujui kitu kuhusiana na ukweli wa maisha,ngoja ukiendelea kuwepo kwenye dunia hii utakuja kukumbuka haya
Sir god atakutimizia kila kitu bila ww kuzisaka pesa?????
You know nothing about God,so acha kabisa kuen delea kujionesha vile ambavyo hujui kitu

Mungu unamjua wewe?
Yaani kwa akili yako kama ya panzi unadhani Mungu anategemea kitu ambacho binadamu amekitengeneza ili afanye mambo yake,wewe ni wa kuhurumiwa kabisa
Marriage is all about money!!!!
Hebu acha kuchekesha watu we binti,hujaolewa halafu unadai ndoa ni pesa,sijui kama uko sahihi wewe

Acha kuishi kwenye ndoto,tafuta watu ambao wamekua na wamekaa muda mrefu kwenye ndoa halafuy waulize kwa adabu halafu uone watakuambia nini cha kujifunza kama unataka kuishi maisha halisi
siku moja utakubali nisemayo
Labda cha kukumbuka kuhusu hili ni vile ambavyo nilivyocheka nilivyosoma haya maelezo yako!
 
Sawa mkuu! Si kila MTU anatakaa dunia imjue! Ila maneno yangu si sheria Kama wewee unaushaurii mzuri Sana sio mbaya pia mwambie aoe hailazimishwi mkuu ila Mimi naishii kwenye dunia nyingine ya kutafuta pesa na kuvuta vitu vikali vya kuzingua dunia ndio maana nkasema hivyo.

Kila la kheri .......!!
 
Ni sawa sikatai kuna cases kama hizo....lakini sio haki kuwahukumu maskini wote kwa staili hiyo. Mimi nna ndugu zangu kibao walioanza kwa staili ya kukaa chumba kimoja sasa hivi wana hali nzuri na ndoa zao ziko vizuri tu....hao matajiri wanaogeuka nimewaona kwenye bongo muvi tu kwenye real life sijawahi kuwaona kiukweli

Nimeipenda sana hii post ......!!
 
Mungu anatupenda wote haijalishi ni masikini ama tajiri maana riziki anagawa yeye na umasikini si kilema ni mitihani tu anatupa na ndio mana kwenye maisha kuna kupanda na kushuka.

Kwahiyo umekubakubaliana na mimi kuwa Mungu anawapenda wenye pesa, right?
 
God of Abraham,Isack and Jacob .....

That's why alisema "ni VIGUMU kwa tajiri kuingia Ufalme wa Mbinguni"

Unaijua sababu?

Kusema "ni vigumu kwa tajiri kuingia mbinguni" kunajustify kuwa Mungu hawapendi wenye pesa?

Kama angekuwa hawapendi wenye pesa....kwanini tumeelekezwa tupeleke sadaka ghalani mwa Bwana?
 
Umegeuza sentensi....wewe kwenye sentensi yako umesema 'Mungu anapenda wenye pesa' amekwambia nani au imeandikwa wapi??

Ameniambia mimi. Siyo kila kitu lazima kiandikwe ndio kichukuliwe ni maagizo ya Mungu. Mathalani ni wapi imeandikwa mwanamke kunyonya dushe la mwanaume ni dhambi. Je kwakuwa haijaandikwa kwahiyo ni ruksa?
 
Hela ninayoongelea hapa ni ile ya kutumiza wajibu wako ww mume like kumnunulia mkeo gari analotaka,,, simu,,, hosp yenye hadhi,,, vaccation once in while,,, nyumba nzuri,,, shoping aitakayo sio aishi maishi ya ndotoni kila siku kusadikika

this is a typical utopian thinking
 
Kusema "ni vigumu kwa tajiri kuingia mbinguni" kunajustify kuwa Mungu hawapendi wenye pesa?

Kama angekuwa hawapendi wenye pesa....kwanini tumeelekezwa tupeleke sadaka ghalani mwa Bwana?

Mungu anapenda wote....maskini kwa matajiri. Matajiri wanapendwa ndio lakini pesa zao zinawaweka mbali na Mungu
 
Back
Top Bottom