Umuhimu wa ndoa kwako

Umuhimu wa ndoa kwako

Dada wewe inaelekea umezoea maisha ya juu sana wengine hapa tumetoka kayumba family tumekulia kauzu milenda hata hizo smartphone hatujawahi shika unadhani nikiolewa na mwanaume mwenye chumba kimoja tukaanzia maisha sitaridhika? Halafu inategemea ndoa unaichukulia vipi mimi kwa upande wangu ndoa naiona ni stara na mume ndio vazi litakalokustiri,ndoa ni nusu ya dini na inampandisha mtu hadhi naipenda sana ndoa namuomba sana Mungui anijalie mume mwema ili nisiichukie ndoa.
Hela ninayoongelea hapa ni ile ya kutumiza wajibu wako ww mume like kumnunulia mkeo gari analotaka,,, simu,,, hosp yenye hadhi,,, vaccation once in while,,, nyumba nzuri,,, shoping aitakayo sio aishi maishi ya ndotoni kila siku kusadikika
 
Dada wewe inaelekea umezoea maisha ya juu sana wengine hapa tumetoka kayumba family tumekulia kauzu milenda hata hizo smartphone hatujawahi shika unadhani nikiolewa na mwanaume mwenye chumba kimoja tukaanzia maisha sitaridhika? Halafu inategemea ndoa unaichukulia vipi mimi kwa upande wangu ndoa naiona ni stara na mume ndio vazi litakalokustiri,ndoa ni nusu ya dini na inampandisha mtu hadhi naipenda sana ndoa namuomba sana Mungui anijalie mume mwema ili nisiichukie ndoa.

Sentence hii ya kujaliwa mume mwema ndo nakubaliana na ww!!!!!!!!!
Maisha yng ni kawaida sana na najitahidi kupambana nitoke,,,,,,,,,,,,, hebu olewa na huyo wa chumba kimoja kila mtu na mtazamo wake........
 
1, ukioa bila hela unatunzaje huyo mke/wak!!!!!!!!! ndo maana michepuko inazidi coz mume anashindwa kutimiza wajibu financially though stms for fun
2, Mipango bila hela ni sawa na kitanda bila mke,,,, tafuta hela then panga cha kufanyia!!!!!!!!!!
Kuna ndg yng mmoja husema ivi " maskini wana mipango mizuri sana lkn hawajui kutafuta hela" so akitaka new idea anaita rfk yke maskini sana na anapata idea nzuri sana. so ni bora upoteze muda kuzisaka pesa kuliko kuwekeza kwny mipango...
3, hapo inategemea ke/me kaolewa kwa sababu gani!!!!!! mwngne anaolewa akae mda fulani aombe taraka apate mgao
kwa case ya furaha ndoa za maskini zina furaha coz mwanaume hana kitu atakua mnyenyekevu balaa deki atapiga na ugali atasonga bajeti ya nyanya1 moja mtapiga wote kasheshe apate mbona utakoma!!!!!!!!! atatafuta mwny hadhi yake...... uliza walioanza frm the scrach wakapata wakwambie moto wake ulivyo

yaelea.umekulia maisha ya ya kutukuza pesa..

naomba unijib hili swali dogo tu, je baba yako ana hela za kumnunulia mama yako gari analotaka, kumpeleka vacations, nyumba nzuri geti kali etc etc,

na kama hana huo uwezo unahisi mama yako ni mjinga kufanya nae maisha na baba yako?

na kama baba yako ni tajiri, unafikiri pesa ndio iliemfanya mama yako aolewe nae??
 
Sentence hii ya kujaliwa mume mwema ndo nakubaliana na ww!!!!!!!!!
Maisha yng ni kawaida sana na najitahidi kupambana nitoke,,,,,,,,,,,,, hebu olewa na huyo wa chumba kimoja kila mtu na mtazamo wake........

Mwisho wa siku...... Pesa ndio sabuni ya roho.

Hata Mungu hupenda wenye pesa.
 
Nilichosema mimi usiipe pesa kipaumbele kwenye ndoa,dada yangu alianza maisha na chumba kimoja lakini sasa wana nyumba tatu tena zenye hadhi na gari na wanapendana mpaka raha japokuwa ndoa yao ina miaka 15,jambo la msingi ni upendo wa kweli na mkisharidhiana mnaishi vyovyote tu PESA NI IBILISI UKIIPA KIPAUMBELE INAKUVUA UTU WAKO.
Sentence hii ya kujaliwa mume mwema ndo nakubaliana na ww!!!!!!!!!
Maisha yng ni kawaida sana na najitahidi kupambana nitoke,,,,,,,,,,,,, hebu olewa na huyo wa chumba kimoja kila mtu na mtazamo wake........
 
Nilichosema mimi usiipe pesa kipaumbele kwenye ndoa,dada yangu alianza maisha na chumba kimoja lakini sasa wana nyumba tatu tena zenye hadhi na gari na wanapendana mpaka raha japokuwa ndoa yao ina miaka 15,jambo la msingi ni upendo wa kweli na mkisharidhiana mnaishi vyovyote tu PESA NI IBILISI UKIIPA KIPAUMBELE INAKUVUA UTU WAKO.
Wengine ni "sikio la kufa"...!hata umwanbieje hawezi kukuelewa, fate ndio itamuelewesha..!
 
Unamaanisha wenye pesa hawalumbani? Ungejua ndoa za maskini zina maelewano mazuri kuliko za hao matajiri

Tena hao ndio wengi wao hata kutoka na mke wake tu anaona nongwa,
kweli pesa siyo "main determinant factor" ya kuoa.
Mapenzi na maisha ya ndoa ni zaidi ya pesa mkuu baby is mady
 
Last edited by a moderator:
1: status; hata uwe na wake mia bila hela utaishia kuitwa mjinga usie na akili
2: Mipango; bila hela hakuna mipango itakayopangika zaidi utakesha ukiota mipango,,,, na ukioa kilaza ndo kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!! utahisi una mikosi ya kila rangi.
3: Watoto; yes watoto ni furaha na faraja baraka kutoka kwa mungu..... but bila hela utawaona ni mzigo na kuchukia mama yao eti haijui nyota ya kijani anaijua ya bluu tu!!!!!!!!!!!!!
Ushauri; tafuta hela,, pata hela,,, waza kuoa over!!!!!"

Aisee pesa ndio kula kitu na hio amanii unayoona katika ndoa za watu na kupata taama ya kujiingizaa ni pesaa ndugu yangu! Tafuta pesa halafu tafuta kisu kikalii dunia itakujuaa tuuuuu ndugu
 
Shost huyo maskini akipata utajutraaaaaa!!!!!!!!

Ni sawa sikatai kuna cases kama hizo....lakini sio haki kuwahukumu maskini wote kwa staili hiyo. Mimi nna ndugu zangu kibao walioanza kwa staili ya kukaa chumba kimoja sasa hivi wana hali nzuri na ndoa zao ziko vizuri tu....hao matajiri wanaogeuka nimewaona kwenye bongo muvi tu kwenye real life sijawahi kuwaona kiukweli
 
Niambie Mungu yupi unayemjua wewe anayependa umaskini...

Umegeuza sentensi....wewe kwenye sentensi yako umesema 'Mungu anapenda wenye pesa' amekwambia nani au imeandikwa wapi??
 
1: status; hata uwe na wake mia bila hela utaishia kuitwa mjinga usie na akili
2: Mipango; bila hela hakuna mipango itakayopangika zaidi utakesha ukiota mipango,,,, na ukioa kilaza ndo kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!! utahisi una mikosi ya kila rangi.
3: Watoto; yes watoto ni furaha na faraja baraka kutoka kwa mungu..... but bila hela utawaona ni mzigo na kuchukia mama yao eti haijui nyota ya kijani anaijua ya bluu tu!!!!!!!!!!!!!
Ushauri; tafuta hela,, pata hela,,, waza kuoa over!!!!!"

Hela huwa haitoshi milele atafute mpaka lini?
 
Tena hao ndio wengi wao hata kutoka na mke wake tu anaona nongwa,
kweli pesa siyo "main determinant factor" ya kuoa.
Mapenzi na maisha ya ndoa ni zaidi ya pesa mkuu baby is [MENTION=239676]mady[/

Ni vizuri kujifariji
 
Last edited by a moderator:
Mungu anatupenda wote haijalishi ni masikini ama tajiri maana riziki anagawa yeye na umasikini si kilema ni mitihani tu anatupa na ndio mana kwenye maisha kuna kupanda na kushuka.
Nitajie watatu unaowajua ambao hawataingia peponi.
 
Back
Top Bottom