asante.ila kwa sasa,sipo tayari kuwa katika relationship.vizuri sasa hapa kuna maskini kibao hawana pesa ila wana tabia nzuri sana na wangependa kuwa na mtu kama wewe
asante.ila kwa sasa,sipo tayari kuwa katika relationship.vizuri sasa hapa kuna maskini kibao hawana pesa ila wana tabia nzuri sana na wangependa kuwa na mtu kama wewe
Kuna mamilionea na mabilionea wangapi ambao love life yao ni hovyo?
Acha kuendekeza pesa dogo....umekutana na shoree gani wewe anayekuharibu fikra zako?
Haya yapo kwenye tamthilia tuu dada, binadamu kama mashine ya kibayologia inachoka na itafikia wakati ile tabia nzuri itafunikwa na ufukara wa mwanaume. Uwezo wa kujikimu kwa mwanaume ni muhimu sana katika mahusiano vinginevyo mwanamke sikumoja atajichokea. Elewa hapa simaanishi mwanaume kuwa na pesa nyingi kumzidi mwanamke lakini aweze kujikimu yeye kama yeye na familia yake bila ya kumtegemea mwanamke.kwa the way nilivyolelewa.mapenzi kwangu,naangalia kikubwa tabia.
mkuu hapa inshu sio utajiri inshu ni pesa, mtu kuwa na pesa haimaanishi kuwa ni tajiri
sasa naona somo linaanza kueleweka
Haya yapo kwenye tamthilia tuu dada, binadamu kama mashine ya kibayologia inachoka na itafikia wakati ile tabia nzuri itafunikwa na ufukara wa mwanaume. Uwezo wa kujikimu kwa mwanaume ni muhimu sana katika mahusiano vinginevyo mwanamke sikumoja atajichokea. Elewa hapa simaanishi mwanaume kuwa na pesa nyingi kumzidi mwanamke lakini aweze kujikimu yeye kama yeye na familia yake bila ya kumtegemea mwanamke.
Mi' ngoja ni pasue jipu.....
Wanawake wengi tunaogopa kusema pesa muhimu kwa sababu tunaogopa kuitwa materialistic, lakini kimsingi hasa wengi wanataka mwanamme awe nazo hizo [p] tatu
Binafsi nisingependa kuwa breadwinner wa familia maisha yangu yote. Kimsingi hata kipato ningependa chake kiwe kikubwa kuliko changu (ili nijiskie mwanamke???)
hela nazitafuta mimi mwenyewe.kwa kujituma,huna tabia ya kumtegemea mtu,kwa the way nilivyolelewa.mapenzi kwangu,naangalia kikubwa tabia.
Tabia na maadili ni vigezo muhimu sana vya kuzingatia kwani hivyo huwa haviji na kupotea kama ambavyo pesa zinaweza.
pesa muhimu katika mapenzi jamani tuacheni tamthilia.
nakukabidhi hii mada, naona unaielewa kwa undani kuliko hata mimi, hebu mpige shule na nyani ngabu hapo maana naona analeta ubishi usio na tija japo kakiri mwenyewe humu kuwa asipobeba maboksi kabula atakula wapi
pesa muhimu katika mapenzi jamani tuacheni tamthilia.tena sisi wanawake bila kuwa na mwanamme mtoaji mara nyingi mahusiano hayawi sawa.mwanaume lazima awe mwanaume na uanaume wake uko kwenye izo p tatu