Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,217
- 48,580
Ni kama hizi sherehe kwa sasa zimepoteza hamasa yake na umuhimu wake kwa watanzania.
Zamani siku kama ya Leo shamrashamra zake zingekuwa kubwa sana.
CCM wameshusha hadhi ya mbio za mwenge, Sasa wameharibu kabisa sherehe adhimu za wafanyakazi.
Zamani siku kama ya Leo shamrashamra zake zingekuwa kubwa sana.
CCM wameshusha hadhi ya mbio za mwenge, Sasa wameharibu kabisa sherehe adhimu za wafanyakazi.