Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,301
- 17,855
Tunakura ugari na kichuriMimi napendelea uji wa moto. Wakurya hawawezi kusema uji wa moto, kwao ni uchi wa moto
Tunakura ugari na kichuriMimi napendelea uji wa moto. Wakurya hawawezi kusema uji wa moto, kwao ni uchi wa moto
Mimi ni Mshashi kutoka Ikungulyabashashikwa hiyo hapo wewe kama mnyakyusa umemaanisha uchi au uji wa moto😎
Mwanamke anaye jisoma humwangalia mume wake usoni pale anapowasiri. Macho yana siri nyingi sana. I.e amechepuka, amemiss mambo, amechoka n.k.Chai ni kinywaji kinachonywewa sana duniani si Asia, Ulaya, Africa mpaka Australia, Arabuni na kwingineko. Kuna walevi wa chai kabisa na hawa Mara nyingi ni wasiotumia pombe.
Chai ina nafasi ya pekee katika maisha yetu ya kila siku, hata mikutano ya maofisini chai ni kinywaji kikuu. Mume anapotengenezewa kikombe cha chai namkewe hujusikia burudani.
Sasa mtoto wa kike wewe, mume anatoka kazini anakuuliza habari humwangalii hata usoni ukiulizwa kuna chai unajibu kettle huioni? Kwani hajui kama kuna kettle? Au alioa kettle?
Little things can make a big difference in marriage.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi napendelea uji wa moto. Wakurya hawawezi kusema uji wa moto, kwao ni uchi wa moto
Hahaaa uyo mwizi ajui kuiba vizuri tafta mtanga ili akamilishe taratibu za wizi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Siyo kila mtu anapenda chai wengine wamezoea viroba
Ndioooo karibu tangaa[HASHTAG]#Virginity[/HASHTAG] nawe ni Tanga line!?
Samahani lakini.
Ndioooo karibu tangaa
Ndioooo karibu tangaa
Mimi ni Mshashi kutoka Ikungulyabashashi
Ww sio mtanga?!Hahaaa uyo mwizi ajui kuiba vizuri tafta mtanga ili akamilishe taratibu za wizi
ApanaaNajaaa, nitakujuza. Nafasi yapatikana hapo !?
MMoja tuugari ya watu wangapi hii,,,
Apanaa
Ni mtangaWw sio mtanga?!
HayaSasa, naja vipi!?
🙄😱😵
Basi, naja wakati pakiwepo nafasi ila tujuzane.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Mimi napendelea uji wa moto. Wakurya hawawezi kusema uji wa moto, kwao ni uchi wa moto
Umeua mwana kwetuTena mtoto wa kike anatakiwa awe na dhana zote mpaka jiko la mafuta stand by
Huhuhuhuu[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]aliyasema isa matona mkuraba