Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Usimkwepe dadaakoSisy leo nimeelewa uzi wako saana.
Hongera saana.
Mjibu kama alivyo kuuliza
Usimkwepe dadaakoSisy leo nimeelewa uzi wako saana.
Hongera saana.
NeyUsimkwepe dadaako
Mjibu kama alivyo kuuliza
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ney
Vipi hiyo kahawa huwa unamwandalia hubby kabla hajaauliza?
Najua unakotaka kunipeleka nami sianguki kiurahisi. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Najua unakotaka kunipeleka nami sianguki kiurahisi. [emoji3]
[emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Basi bora tuishie kujichekesha tuu hakuna namna.
Twende tukanywe switieNimemiss kahawa za pale sabena na bungeni. [emoji6]
Mbona hujibu una wanawake wangapi eti?Sisy leo nimeelewa uzi wako saana.
Hongera saana.
Anaisikiaga kwenye bomba tu. Duh hatari sana kizazi hiki kimekuwa too much affected by western culture.Kuna kaka alinieleza kwa machungu kuwa hajawahi kunywa chai iliyotengenezwa na mkewe.
Yah anasema hata weekend mdada anatengeneza kikombe chake ana kaa kwenye sofa kuwatch news mr akitoka huko annambiwa ohh tengeneza tu chai mkate uko kwenye fridge. Mwanaume kama huyo akiwa Huku kwetu Kwamtogole hushangai kusikia amenunua na nyumba kwa ni mdogo.Anaisikiaga kwenye bomba tu. Duh hatari sana kizazi hiki kimekuwa too much affected by western culture.
Labda Mod kafuta ila nimejibu mbona.Mbona hujibu una wanawake wangapi eti?
Twende tukanywe switie
Au luku imeisha,sukari au majani ya chai yameishaChai ni kinywaji kinachonywewa sana duniani si Asia, Ulaya, Africa mpaka Australia, Arabuni na kwingineko. Kuna walevi wa chai kabisa na hawa Mara nyingi ni wasiotumia pombe.
Chai ina nafasi ya pekee katika maisha yetu ya kila siku, hata mikutano ya maofisini chai ni kinywaji kikuu. Mume anapotengenezewa kikombe cha chai namkewe hujusikia burudani.
Sasa mtoto wa kike wewe, mume anatoka kazini anakuuliza habari humwangalii hata usoni ukiulizwa kuna chai unajibu kettle huioni? Kwani hajui kama kuna kettle? Au alioa kettle?
Little things can make a big difference in marriage.
Kama anaishi na dada ake. Hata ingekuwa mimi lazima ninunue Nyumba na Gari kwa bi mdogo. Inaondoa radha kabisa.Yah anasema hata weekend mdada anatengeneza kikombe chake ana las kuwatch news mr akiyoka huko annambiwa ohh tengeneza tu chai mkate uko kwenye fridge. Mwanaume kama huyo akiwa Huku kwetu Kwamtogole hushangai kusikia amenunua na nyumba kwa ni mdogo.
Ngoja Daby athibitishe hebuNi wewe ndiye wifi yangu wewe pekee