Umuhimu wa kikombe cha chai kwenye mapenzi

Umuhimu wa kikombe cha chai kwenye mapenzi

Huhuhuhuu[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
mbona umeishia kucheka
maana mkuraba una mashauri gani atakujengea nyumba ghorofa nje na ndani
mtu mwenyewe tumbu dogo kwa kula hawezekeni
upo ukhuty
 
Dada nna kaka yang yuko single jamn utamfaa sana

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Kila mwanaume apendavyo mwingine chai,mwingine juice,mwingine supu mwingine uji.cha msingi wanaume wawaambie wake zao wanataka nn hyo jion kama hawajaenda bar mana Mmmh

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom