Umuhimu wa kikombe cha chai kwenye mapenzi

Umuhimu wa kikombe cha chai kwenye mapenzi

Chai ni kinywaji kinachonywewa sana duniani si Asia, Ulaya, Africa mpaka Australia, Arabuni na kwingineko. Kuna walevi wa chai kabisa na hawa Mara nyingi ni wasiotumia pombe.

Chai ina nafasi ya pekee katika maisha yetu ya kila siku, hata mikutano ya maofisini chai ni kinywaji kikuu. Mume anapotengenezewa kikombe cha chai namkewe hujusikia burudani.

Sasa mtoto wa kike wewe, mume anatoka kazini anakuuliza habari humwangalii hata usoni ukiulizwa kuna chai unajibu kettle huioni? Kwani hajui kama kuna kettle? Au alioa kettle?

Little things can make a big difference in marriage.

Sky Eclat umesema vema kabisa. little things can make a huge difference. mimi ni mpenzi mmojawapo wa chai (my avatar not withstanding) na napenda sana nikiinywa ya nyumbani, tea masala flan hivi yenye maziwa basi moyo burdaaani kabisa
 
Sky Eclat umesema vema kabisa. little things can make a huge difference. mimi ni mpenzi mmojawapo wa chai (my avatar not withstanding) na napenda sana nikiinywa ya nyumbani, tea masala flan hivi yenye maziwa basi moyo burdaaani kabisa
Sasa mtoto wa kike anaeenzi ndoa jioni atahakikisha kuna maziwa fresh ya chai ya mzee na akishakuwekea chai masala kwenye chupa na yeye anaoga na kukusubiri mjongee. Hata vrisasi zikirindima nje utaona sawa tu
 
Mimi mvivu wa kunywa chai,
Asubuhi napendelea kunywa wine kidogo na kitafunwa na sipokunywa coca cola 2 kwa siku sijisikii raha kabisa.
 
Mimi napendelea uji wa moto. Wakurya hawawezi kusema uji wa moto, kwao ni uchi wa moto

Haaaa haaaa haaaa haaaa teeeh teeeh,
[HASHTAG]#Bujibuji[/HASHTAG], acha habari zako za uji sisi Tanga moja ni chai kwanza ,
 
Sasa mtoto wa kike anaeenzi ndoa jioni atahakikisha kuna maziwa fresh ya chai ya mzee na akishakuwekea chai masala kwenye chupa na yeye anaoga na kukusubiri mjongee. Hata vrisasi zikirindima nje utaona sawa tu

hapo kavaa kanga moja wee.....kikombe kwani kinaisha? uchovu kwisha
 
naona umeamua kuwatia mkoleni kabisa tena huyu wangu ndio nimempa ajibu huu uzi
 
Chai ni kinywaji kinachonywewa sana duniani si Asia, Ulaya, Africa mpaka Australia, Arabuni na kwingineko. Kuna walevi wa chai kabisa na hawa Mara nyingi ni wasiotumia pombe.

Chai ina nafasi ya pekee katika maisha yetu ya kila siku, hata mikutano ya maofisini chai ni kinywaji kikuu. Mume anapotengenezewa kikombe cha chai namkewe hujusikia burudani.

Sasa mtoto wa kike wewe, mume anatoka kazini anakuuliza habari humwangalii hata usoni ukiulizwa kuna chai unajibu kettle huioni? Kwani hajui kama kuna kettle? Au alioa kettle?

Little things can make a big difference in marriage.
Wafundishe hawa watoto wa kike mana wengine tuliojaliwa kutotumi pombe tunapata msononeko kwa hiyo hali kule nyumbani.Unawahi nyumbani usipitie vikao vya bar lkn ukifika home hupati cha kukushawishi uendelee kukwepa vikao vya bar.
 
Sisi watu wa zamani wenye nyingi nahau chai hii tunasema si ya kujazwa kwenye birika
 
[HASHTAG]#SkyEclat[/HASHTAG],

Asante sana, mi nilikuwa napata chai kila muda nikiwa nyumbani ila Nilikuwa sijui kuwa ni fundisho mlilopata huko kwenye kuchezwa ngoma.

Hongera Tanga Line Wote na waliopata wenza kutoka Tanga... .

Kweli nimeamini Tanga hapataisha mahabatious.

Warembo wenyewe wa Tanga humalizia stori zao kwa kuweka kibwagizo cha neno "[HASHTAG]#Ewaaaaaah[/HASHTAG]"
 
Back
Top Bottom