Umri wa Wasomaji wa Jukwaa la Siasa kupungua!

WISDOM SEEDS

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
841
282
HUU NI MTAZAMO WANGU TU:

Kwa siku tatu mfululizo tangu Rais Jakaya Kikwete ahutubie wazee pale Diamond Jubilee nimekuwa nikijitahidi kusoma kila post inayowekwa kwenye Jukwaa la Siasa ili nisipitwe na habari zinazoendelea katika nchi yetu, hasa ikizingatiwa kuwa mimi niko mbali kidogo na nchi. Kuna wakati nilikuwa natamani kuchangia lakini nikawa nasita kutokana na ama kupandwa na hasira au kukerekwa na habari zinazowekwa humu.

Hakika kuna jambo moja kubwa nimeligundua: wasomaji na wachangiaji wa Jukwaa la Siasa wana nafasi kubwa ya kufariki vifo vya ghafla kutokana na stress zinazosababishwa na namna nchi inavyopelekwa! Huwa najiapiza kuwa nisiwe naingia Jukwaa la Siasa na badala yake niingie kwenye majukwaa mengine lakini kuna wakati nashikwa na "mshawasha" wa kutaka kujua nini kinaendelea nchini mwangu kwenye masuala ya kisiasa na kiuchumi, lakini kila nikiingia, baada ya dakika ishirini hivi huwa najikuta nimechanganyikiwa!
 
HUU NI MTAZAMO WANGU TU:

Kwa siku tatu mfululizo tangu Rais Jakaya Kikwete ahutubie wazee pale Diamond Jubilee nimekuwa nikijitahidi kusoma kila post inayowekwa kwenye Jukwaa la Siasa ili nisipitwe na habari zinazoendelea katika nchi yetu, hasa ikizingatiwa kuwa mimi niko mbali kidogo na nchi. Kuna wakati nilikuwa natamani kuchangia lakini nikawa nasita kutokana na ama kupandwa na hasira au kukerekwa na habari zinazowekwa humu.

Hakika kuna jambo moja kubwa nimeligundua: wasomaji na wachangiaji wa Jukwaa la Siasa wana nafasi kubwa ya kufariki vifo vya ghafla kutokana na stress zinazosababishwa na namna nchi inavyopelekwa! Huwa najiapiza kuwa nisiwe naingia Jukwaa la Siasa na badala yake niingie kwenye majukwaa mengine lakini kuna wakati nashikwa na "mshawasha" wa kutaka kujua nini kinaendelea nchini mwangu kwenye masuala ya kisiasa na kiuchumi, lakini kila nikiingia, baada ya dakika ishirini hivi huwa najikuta nimechanganyikiwa!
Ndio maana mdiaspora mwenzako bintiye muadhirika alitutukana watanzania matusi ya nguoni
 
...lakini kuna wakati nashikwa na "mshawasha" wa kutaka kujua nini kinaendelea nchini mwangu kwenye masuala ya kisiasa na kiuchumi, lakini kila nikiingia, baada ya dakika ishirini hivi huwa najikuta nimechanganyikiwa![/QUOTE] MKUU SIO WEWE TU UNAYEKUMBWA NA HALI HIYO HATA MIMI NI HIVYO2! HUYU MTAWALA WA AWAMU HII NI KIBOKO AMEUFANYA URAIS UWE MWEPESI KAMA KULIMA MANANASI MSOGA KILA MTU ANATAKA KITI CHA URAIS, WENDAWAZIMU WENGINE HATA UBUNGE HAWAUFIKIRII TENA WANATAKA URAIS! By John Mnzajila
 
Back
Top Bottom