Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.


Mimi binafsi naandika haya kwa masikitiko makubwa sana na naona kabisa sasa viongozi wanavyo anza kulewa madara na kuwa watu tofauti na Mama Samia naye naona hajaweza kukwepa mtego huo. Nilifikiri yeye ndiye angeweza kutusaidia kuleta katiba mpya, kubadilisha mifumo ya utendaji kuwa ya kisasa, kukomesha rushwa na kuweka demokrasia uhuru na ushindani ambako duniani kote ndiyo unaleta ubunifu na maendeleo. Badala yake tunaona amerudi kuwa Mama wa wapambe, machawa, na mtu wa kujali madara zaidi. Kama sio yeye iko siku tutapata mtu wa kutuvusha lakini Mama Samia naona kama anapoteza nafasi muhimu ya kukumbukwa kama shujaa.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
 
Samia ameamua kufia chama chake CCM, ndio maana amepiga teke kila kitu kilichokuwa kinaleta maridhiano, kuanzia Katiba Mpya ameipuuza, badala yake ametuletea maigizo ya muswada wa sheria ya Tume ya Uchaguzi ili kutupoza.

Kwa sasa hataki tena kukutana na wapinzani, hii ni baada ya kuona kuna kila dalili watamuondoa relini na kukiweka rehani chama chake, matokeo yake kwa sababu watanzania sio wajinga, nao wameamua kumuweka pembeni kwenye shughuli zake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia kwenye majanga!.

P
Anko Pasko, tunadanganyana kuhusu kuupima huo ukweli.
Maana huo uchaguzi iko wazi HAUTAKUA HURU NA WA HAKI, kura zitaibiwa nyingi tu alaf waje wampembe bi mkubwa kwamba anakubalika.
If kungekua na ukweli and fairness kwenye uchaguzi kweli tungepima haya yote.
Au nadanganya mzee??
 
Bitozo alipoteza mvuto wake kwa wananchi baada ya kuleta TOZO. Yaani chanzo cha matatizo yote hayo ni TOZO.
Hata atumie kiki, mapichapicha, video mbali mbali, wasanii, hawezi kupata mvuto, sababu ni TOZO.
Hata ikitokea akashindwa uchaguzi 2025, ajue chanzo ni TOZO.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule. Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile. Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo. Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia. Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Zuwena hajawahi kuwa na mvuto hata kwa mtoto wa chekechea,hata wanapenda kwenye mikutano yake wanaenda kushangaa mabunduki na ma vieite sio kumsikiliza yeye.
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
"Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia", kumbukumbu yangu inanionesha Lissu na Mbowe wamewahi kusimama kwenye jukwaa la kugombea urais, huyo wenu mmh! Tunalazimishwa kuwa nae aligombea, wapi ni siri yenu.
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania hata siku moja hayawezi kuwa kipimo cha mvuto wa kiongozi sababu kwanza kuna watu hawatopiga kura wengi tu sababu wanajua hakuna mabadiliko,pili kwa kura hizo chache zitakazopigwa hazita tafsiri matakwa ya wananchi zitatafsiri matakwa ya wala nchi na mawakala wao.
 
Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania hata siku moja hayawezi kuwa kipimo cha mvuto wa kiongozi sababu kwanza kuna watu hawatopiga kura wengi tu sababu wanajua hakuna mabadiliko,pili kwa kura hizo chache zitakazopigwa hazita tafsiri matakwa ya wananchi zitatafsiri matakwa ya wala nchi na mawakala wao.
Inasikitisha sana
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule. Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile. Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo. Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia. Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Kupanda au kushuka mvuto wa Rais ni kitu cha kawaida ...na siyo kwa mama tu bali hata kwa marais wa nchi nyingine.
 
Wewe una makengeza ktk akili yako! Mbowe yupi au Lissu yupi wa kumshinda Rais Samia mvuto?!

Ona CHADEMA walivyo na viongozi wapumbavu! Janga la Hanang limetokea lini? Mbowe na CHADEMA walikuwa wamekaa wanakunywa konyagi tu, lakini walipoona jana Rais Samia anaenda Hanang nao wanalazimisha kwenda jana hiyo hiyo!!!

CHADEMA Ina viongozi mapimbi sana, hawajui hata protocol ni kupenda siasa za confrotation (political confrotation) tu wakidhani inaweza kuwafanya kuwa relevant?!

CHADEMA haina organization structure inayoeleweka! Kila kitu kinaanzia na kuishia kwa Mbowe!

Hawana vitengo vinavyoeleweka, jambo kama janga la HANANG kwa Chama makini , Mwenyekiti Mbowe hakupaswa kuwa " Figure Head" wa kuratibu michango kwa waathirika!

Michango inapitia Line ya simu ya mtu ( amejificha kwa jina ja CHADEMA HQ)!

Hivi huyo "CHADEMA HQ" ni nani na legal status yake ikoje na akitafuna hiyo michango kama zilivyotafunwa za Join the Chain anaweza kuwa held accountable namna gani?
CHADEMA Haina account za Banks ambazo watu wanaweza ku- verify michango yao?!

CHADEMA ni Chama kilichochoka sana ki fikra , mtazamo na mienendo!!
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule. Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile. Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo. Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia. Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
CHADEMA! Mtasubiri saana!
 
Back
Top Bottom