Biblia iliandikwa na watu tu, enzi za ujinga kabla watu hawajaaanza kugundua umri halisi wa dunia.
Hivyo ni wazi kuwa imebeba makosa yaliyotokana na ujinga wa enzi za uandishi wake.
Kila anayejua kufikiri ataona hilo, hata kama imani itamtaka alifumbie macho.
Sasa kama biblia imeandikwa na watu bila révélation ya mungu,kwa nini ifufue misukule?