hyle master
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 207
- 23
Kama kijana anaye ishi na wazazi wake au walezi wake na anawategemea katika Huduma mbalimbali za kijamii.
Ni mambo gani ambayo kijana anatakiwa kujiandaa ili aweze kijitegemea.
Na upi umri sahihi wa kuweza kujitegemea?
Ni mambo gani ambayo kijana anatakiwa kujiandaa ili aweze kijitegemea.
Na upi umri sahihi wa kuweza kujitegemea?