mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 278
- 548
Ukiwa bado kijana mbichi unaambiwa - we mwana usichezee maisha - usubiri muda wako sahihi utafika uko mbeleni utakula maisha adi uchoke
Ukifika umri wa kati bado unakuta vibao vya hatari kila kona - unatahadharishwa usichezee maisha, ujijenge kwa baadae mara ooh taifa bado linakuhitaji.
sasa ukiamua kujitoa ufahamu kidogo ukawa unafanya tu mambo yako mwenyewe, unaonekana kama mtu aliyepoteza mwelekeo wa maisha na asiyejielewa kabisa.
Cha ajabu ukizubaa kidogo, kabla haujakaa sawa kule mbeleni utawaskia walimwengu haohao ooh huyu hana jipya, amezeeka - amepitwa na wakati/zama zake zimeshapita!
Sasa wakuu wakati gani ni muafaka kwa mtu kufurahia maisha kwa ubora wake bila vikwazo.
Ukifika umri wa kati bado unakuta vibao vya hatari kila kona - unatahadharishwa usichezee maisha, ujijenge kwa baadae mara ooh taifa bado linakuhitaji.
sasa ukiamua kujitoa ufahamu kidogo ukawa unafanya tu mambo yako mwenyewe, unaonekana kama mtu aliyepoteza mwelekeo wa maisha na asiyejielewa kabisa.
Cha ajabu ukizubaa kidogo, kabla haujakaa sawa kule mbeleni utawaskia walimwengu haohao ooh huyu hana jipya, amezeeka - amepitwa na wakati/zama zake zimeshapita!
Sasa wakuu wakati gani ni muafaka kwa mtu kufurahia maisha kwa ubora wake bila vikwazo.