UWT ni enzi zile wa wakina Bibi Titi, Sophia Kawawa, Lucy Lameck. Walionesha nafasi, heshma na utu wa mwanamke sio hawa wa siku hizi wamekazana kupaka wanja na kuota vitambi. Kila kukicha wako kwenye party hii mara ile wanakula vipapatikio vya kuku.
UWT hawana moral authority hata chembe ya kusema wanatetea wanawake (labda kama ni wao wenyewe wakubwa wa UWT). Nenda mahospitalini wamama wajawazito wamelala sakafuni tena kwa kubanana kama dagaa, UWT wao kimya wanakazana na lipstick!
TAMWA wanafanya kazi mara 100 ya kupigania wanawake kuliko hawa UWT. Mtu kama Sophia Simba si tu ni kiongozi wa UWT lakini pia ni waziri mwenye dhamana ya mambo ya wanawake na watoto. Hebu aseme amefanya nini kumuinua mwanamke wa kawaida kijijini? Kila siku anapita na shangigi pale kwenye viwanja wa Gymkana, yuko mama pale kazalia watoto chini ya mti wamefika 5 sasa. UWT!
UWT hawana moral authority hata chembe ya kusema wanatetea wanawake (labda kama ni wao wenyewe wakubwa wa UWT). Nenda mahospitalini wamama wajawazito wamelala sakafuni tena kwa kubanana kama dagaa, UWT wao kimya wanakazana na lipstick!
TAMWA wanafanya kazi mara 100 ya kupigania wanawake kuliko hawa UWT. Mtu kama Sophia Simba si tu ni kiongozi wa UWT lakini pia ni waziri mwenye dhamana ya mambo ya wanawake na watoto. Hebu aseme amefanya nini kumuinua mwanamke wa kawaida kijijini? Kila siku anapita na shangigi pale kwenye viwanja wa Gymkana, yuko mama pale kazalia watoto chini ya mti wamefika 5 sasa. UWT!