Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,205
- 42,067
Akionge baada ya kumaliza vikao vyao mwenyekiti wa umoja huo amesema wana muunga mkono msajili wa vyama vya siasa kuvifuta vyama ambazo vina chonganisha serikali na wananchi!
Hili limekuja baada ya kifo cha mwandishi wa habari huko iringa. Aliendelea kusema kuwa nchi nyingi zinapopata machafuko wanao athirika ni wanawake.
Pia alisema atahamasisha wanawake nchi nzima kukataa vyama vya upinzani vinavyo ichonganisha serikali na wananchi.
Hii inaonesha wazi ambavyo ccm inavyo endelea kujitoa kwenye kifo cha mwandishi na vurugu zinazo tokea kwenye mikutano ya CDM kila polisi wanapo linda.
Ikumbukwe kwamba serikali ya ccm imeonekana kuwa chanzo cha vurugu kwa kutumia polisi, polisi wanapo kaa pembeni hali huwaa shwari.
Wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika ukombozi lakini si kutumiwa na watu wachache.
Source: Star tv
Hili limekuja baada ya kifo cha mwandishi wa habari huko iringa. Aliendelea kusema kuwa nchi nyingi zinapopata machafuko wanao athirika ni wanawake.
Pia alisema atahamasisha wanawake nchi nzima kukataa vyama vya upinzani vinavyo ichonganisha serikali na wananchi.
Hii inaonesha wazi ambavyo ccm inavyo endelea kujitoa kwenye kifo cha mwandishi na vurugu zinazo tokea kwenye mikutano ya CDM kila polisi wanapo linda.
Ikumbukwe kwamba serikali ya ccm imeonekana kuwa chanzo cha vurugu kwa kutumia polisi, polisi wanapo kaa pembeni hali huwaa shwari.
Wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika ukombozi lakini si kutumiwa na watu wachache.
Source: Star tv