Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,543
- 12,040
- Thread starter
- #41
Chaputa vs uwabataInavyoonekana UWABATA no Chaputa na Mabaharia walioasi na kuamua kujitenga.
Chaputa vs uwabataInavyoonekana UWABATA no Chaputa na Mabaharia walioasi na kuamua kujitenga.
View attachment 1689642
Hii nimekutana nayo mahali.... Kumbe hawa jamaa sio wa mchezo mchezo mpaka wametengeneza sarafu yao...
Haahaa una ID no za mbele khatibu wa uwabata.....View attachment 1702514
Mimi kama katibu nasikitika kuskia kuna wanaume wanasherekea valentine
Hahahaha ndo kauli mbiu yetu mkuuHaahaa una ID no za mbele khatibu wa uwabata.....
Kauli mbiu
KUNA PESA NAISIKILIZIA
Mkuu naomba kura yako tafadhariHaahaa, Raisi anae subiri kuapishwaaa...
Ongera zako kama kuwa bahili ni ujinga kwakoHii yote ni sababu ya ccm ,hakuna hela mtaani hadi vijana wananzisha ujinga wa kuwa mabahili
Amelaaniwa Yule amtegemeaye mwanadamuWanaume wasio na hela na akili ni janga lingine la taifa
Fanyeni kazi umaskini utawaua nyie. Badala muunde group mpeane ramani za hela mnajadili upuuzi. Mfyuuu
sio ubahili kuna hela tunaisikiliziaHii yote ni sababu ya ccm ,hakuna hela mtaani hadi vijana wananzisha ujinga wa kuwa mabahili
Ramani zipi tena jamani. Wakati tushakwambia kuna hela tunaisikiliziaWanaume wasio na hela na akili ni janga lingine la taifa
Fanyeni kazi umaskini utawaua nyie. Badala muunde group mpeane ramani za hela mnajadili upuuzi. Mfyuuu
Kuna hela naisikiliziaWanaume wasio na hela na akili ni janga lingine la taifa
Fanyeni kazi umaskini utawaua nyie. Badala muunde group mpeane ramani za hela mnajadili upuuzi. Mfyuuu
Hatudanganyiki tena...najua hapa inakuuma sana sababu tunasanua vijana wengi kwa hiyo unaogopa mirija kukatwaWanaume wasio na hela na akili ni janga lingine la taifa
Fanyeni kazi umaskini utawaua nyie. Badala muunde group mpeane ramani za hela mnajadili upuuzi. Mfyuuu