Umoja wa BRICS watishia umoja wa UN na maslahi ya USA

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,180
10,904
Umoja wa kundi la kiuchumi la BRICS lililoasisiwa na China na Urusi limeonekana kukua na kutishia uhai wa umoja wa mataifa na maslahi ya taifa la Marekani.

Hayo yameeleweka wakati umoja huo ukikaribia kufanya kikao chake mwezi Juni mwaka huu huko Afrika Kusini..

Balozi wa BRICS wa Afrika kusini Anil Sooklal amesema umoja huo umekuwa ukipokea maombi mapya kutoka nchi za Afrika na Mashariki ya kati. Kwa sasa wana maombi kutoka nchi 16

Umoja huo awali mwaka 2001 ulipoundwa ulizikushanya nchi za Brazil, Russia, India China kabla ya Afrika kusini kujiunga hapo mwaka 2010.Ifikapo mwaka 2050 inatarajiwa umoja huo utakuwa ukiongoza kwa nguvu za kiuchumi na ushawishi duniani.

Akizungumzia kuhusu tishio la umoja huo afisa kutoka wizara ya nchi ya Marekani amesema nchi yake ina mipango madhubuti kuhusiana na Afrika hasa kuhusu muundo wa kiuchumi na kiutawala.

Naye Blinken ameongeza kuwa muundo bora wa kiuchumi wa Marekani ni katika kukuza utwala wa kidemokrasia,kujali haki za binadamu na uwazi katika utendaji wake.

71f57313b89495978d979c8dada4bac5
 
Wanasema ni world disorder
huo ndo ukwel , majuto ni mjukuu , leo mnashabikia ila kesho mtakuja kulia lia baadae mkiwa fighting grounds za WEST vs BRICS waafrika tumekuwa watu wa kujuta ila hatuez chukua hatua mapema na tunajua kulia lia hali ikiwa mbaya , hao BRICS wapo kwa maslai yao maana hapo BRICS ni nchi 5 yaan BRAZIL anaelinda maslai yake huko amerika kusini maana wao ndo giant kiuchumi kwa amerika ya kusini , URUSI/RUSSIA analinda heshima/maslai kwenye ukanda wa former soviet states , pia IRAN ni maslai yake ndani ya mashariki ya kati pia CHINA analinda maslai yake ASIA na AFRIKA ingawaje na sehemu nyingine zote dhidi ya WEST pia SOUTH AFRICA ana viwanda vya bidhaa nyingi tu na wana ushindani mkubwa sana na west kwenye upande wa afrika tumeona kuanzia liberia , siera leone hadi drc jinsi mercenaries wa west na sa walivyokuwa wanagombania fursa so SA anaona hii ni fursa kujiunga BRICS ila ni kituko nchi kama TZ ambayo hata vyoo mpk ujenge kwa ela ya msaada wa covid19 kudandia movement za wenzio wakati huna mslai yoyote ile ukijilimgamisha na hao BRICS , HUO NI USHAMBA TUJITATHIMINI KWA MARA YA PILI
 
huo ndo ukwel , majuto ni mjukuu , leo mnashabikia ila kesho mtakuja kulia lia baadae mkiwa fighting grounds za WEST vs BRICS waafrika tumekuwa watu wa kujuta ila hatuez chukua hatua mapema na tunajua kulia lia hali ikiwa mbaya , hao BRICS wapo kwa maslai yao maana hapo BRICS ni nchi 5 yaan BRAZIL anaelinda maslai yake huko amerika kusini maana wao ndo giant kiuchumi kwa amerika ya kusini , URUSI/RUSSIA analinda heshima/maslai kwenye ukanda wa former soviet states , pia IRAN ni maslai yake ndani ya mashariki ya kati pia CHINA analinda maslai yake ASIA na AFRIKA ingawaje na sehemu nyingine zote dhidi ya WEST pia SOUTH AFRICA ana viwanda vya bidhaa nyingi tu na wana ushindani mkubwa sana na west kwenye upande wa afrika tumeona kuanzia liberia , siera leone hadi drc jinsi mercenaries wa west na sa walivyokuwa wanagombania fursa so SA anaona hii ni fursa kujiunga BRICS ila ni kituko nchi kama TZ ambayo hata vyoo mpk ujenge kwa ela ya msaada wa covid19 kudandia movement za wenzio wakati huna mslai yoyote ile ukijilimgamisha na hao BRICS , HUO NI USHAMBA TUJITATHIMINI KWA MARA YA PILI
Kwani una taarifa kuwa kati ya hayo maombi 16 na Tanzania ni miongoni mwao?.
Kama ni hivyo ni jambo la kupendeza sana. Umesema kila nchi inatafuta maslahi yake na sisi huenda maslahi yetu yapo huko.Kwani nani tunayemuongopa ikiwa tunaona tutafaidika kwa kujiunga na BRICS bila kujitoa mimoja mingine.
 
Contribution to global GDP (PPP) growth

2002

G7 (🇨🇦 🇫🇷 🇩🇪 🇮🇹 🇯🇵 🇬🇧 🇺🇸): 42%
BRICS (🇧🇷 🇷🇺 🇮🇳 🇨🇳 🇿🇦): 19%

2022

G7 (🇨🇦 🇫🇷 🇩🇪 🇮🇹 🇯🇵 🇬🇧 🇺🇸): 30%
BRICS (🇧🇷 🇷🇺 🇮🇳 🇨🇳 🇿🇦): 31%
 
huo ndo ukwel , majuto ni mjukuu , leo mnashabikia ila kesho mtakuja kulia lia baadae mkiwa fighting grounds za WEST vs BRICS waafrika tumekuwa watu wa kujuta ila hatuez chukua hatua mapema na tunajua kulia lia hali ikiwa mbaya , hao BRICS wapo kwa maslai yao maana hapo BRICS ni nchi 5 yaan BRAZIL anaelinda maslai yake huko amerika kusini maana wao ndo giant kiuchumi kwa amerika ya kusini , URUSI/RUSSIA analinda heshima/maslai kwenye ukanda wa former soviet states , pia IRAN ni maslai yake ndani ya mashariki ya kati pia CHINA analinda maslai yake ASIA na AFRIKA ingawaje na sehemu nyingine zote dhidi ya WEST pia SOUTH AFRICA ana viwanda vya bidhaa nyingi tu na wana ushindani mkubwa sana na west kwenye upande wa afrika tumeona kuanzia liberia , siera leone hadi drc jinsi mercenaries wa west na sa walivyokuwa wanagombania fursa so SA anaona hii ni fursa kujiunga BRICS ila ni kituko nchi kama TZ ambayo hata vyoo mpk ujenge kwa ela ya msaada wa covid19 kudandia movement za wenzio wakati huna mslai yoyote ile ukijilimgamisha na hao BRICS , HUO NI USHAMBA TUJITATHIMINI KWA MARA YA PILI
Okay,block zingine hazina maslshi binafsi ila yapo kuihurumia Africa?
 
Umoja wa kundi la kiuchumi la BRICS lililoasisiwa na China na Urusi limeonekana kukua na kutishia uhai wa umoja wa mataifa na maslahi ya taifa la Marekani.

Hayo yameeleweka wakati umoja huo ukikaribia kufanya kikao chake mwezi Juni mwaka huu huko Afrika Kusini..

Balozi wa BRICS wa Afrika kusini Anil Sooklal amesema umoja huo umekuwa ukipokea maombi mapya kutoka nchi za Afrika na Mashariki ya kati. Kwa sasa wana maombi kutoka nchi 16

Umoja huo awali mwaka 2001 ulipoundwa ulizikushanya nchi za Brazil, Russia, India China kabla ya Afrika kusini kujiunga hapo mwaka 2010.Ifikapo mwaka 2050 inatarajiwa umoja huo utakuwa ukiongoza kwa nguvu za kiuchumi na ushawishi duniani.

Akizungumzia kuhusu tishio la umoja huo afisa kutoka wizara ya nchi ya Marekani amesema nchi yake ina mipango madhubuti kuhusiana na Afrika hasa kuhusu muundo wa kiuchumi na kiutawala.

Naye Blinken ameongeza kuwa muundo bora wa kiuchumi wa Marekani ni katika kukuza utwala wa kidemokrasia,kujali haki za binadamu na uwazi katika utendaji wake.

71f57313b89495978d979c8dada4bac5
Nchi zote za Asia zinaweza ekewa vikwazo na Marekani wala US asitetereke poppte
 
Kwani una taarifa kuwa kati ya hayo maombi 16 na Tanzania ni miongoni mwao?.
Kama ni hivyo ni jambo la kupendeza sana. Umesema kila nchi inatafuta maslahi yake na sisi huenda maslahi yetu yapo huko.Kwani nani tunayemuongopa ikiwa tunaona tutafaidika kwa kujiunga na BRICS bila kujitoa mimoja mingine.
elewa maana ya BRiCS kwanza halafu ndo ujue kuwa huna chako humo huo ni muungano wenye mitizamo ya wachache tu , mungu akituweka tutashuhudia
 
elewa maana ya BRiCS kwanza halafu ndo ujue kuwa huna chako humo huo ni muungano wenye mitizamo ya wachache tu , mungu akituweka tutashuhudia
Kila kitu huanza na wachache.Muhimu ni kuanza kwanza na tukaona kitu tofauti na hiki tulichonacho sasa.Yawezekana huu ukawa bora kuliko vilivyotangulia.
 
Huu ndio wakati muafaka kwa bara la Africa kuinuka kiuchumi iwapo tutaungana na kupaaza sauti kwa pamoja. Tusipogombea kupata mgao kwenye wa keki kwenye uwanja wa kimataifa tutajikuta tunatawaliwa kiuchumi na BRICS badala ya IMF na WB.
Marekani tayari imeanza kuiona hatari kimbunga kinachokuja kutokea, ule mchezo wa kuchapisha Dollar na kuzibadilisha na rasilimali halisi kwenye nchi masikini na zile zinazoendelea unaenda kukoma ....Tukae kwa kutulia hivi tukisikilizia maumivu.
 
huo ndo ukwel , majuto ni mjukuu , leo mnashabikia ila kesho mtakuja kulia lia baadae mkiwa fighting grounds za WEST vs BRICS waafrika tumekuwa watu wa kujuta ila hatuez chukua hatua mapema na tunajua kulia lia hali ikiwa mbaya , hao BRICS wapo kwa maslai yao maana hapo BRICS ni nchi 5 yaan BRAZIL anaelinda maslai yake huko amerika kusini maana wao ndo giant kiuchumi kwa amerika ya kusini , URUSI/RUSSIA analinda heshima/maslai kwenye ukanda wa former soviet states , pia IRAN ni maslai yake ndani ya mashariki ya kati pia CHINA analinda maslai yake ASIA na AFRIKA ingawaje na sehemu nyingine zote dhidi ya WEST pia SOUTH AFRICA ana viwanda vya bidhaa nyingi tu na wana ushindani mkubwa sana na west kwenye upande wa afrika tumeona kuanzia liberia , siera leone hadi drc jinsi mercenaries wa west na sa walivyokuwa wanagombania fursa so SA anaona hii ni fursa kujiunga BRICS ila ni kituko nchi kama TZ ambayo hata vyoo mpk ujenge kwa ela ya msaada wa covid19 kudandia movement za wenzio wakati huna mslai yoyote ile ukijilimgamisha na hao BRICS , HUO NI USHAMBA TUJITATHIMINI KWA MARA YA PILI
BRICS ni umoja wa kibiashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom