brics

BRICS is the acronym coined to associate five major emerging economies: Brazil, Russia, India, China, and South Africa. The BRICS members are known for their significant influence on regional affairs. Since 2009, the governments of the BRICS states have met annually at formal summits. Russia hosted the most recent 13th BRICS Summit on 9 September 2021 virtually due to the COVID-19 pandemic.
Originally the first four were grouped as "BRIC" (or "the BRICs") before the induction of South Africa in 2010. The BRICS have a combined area of 39,746,220 km2 (15,346,101.0 sq mi) and an estimated total population of about 3.21 billion, or about 26.656% of the world land surface and 41.53% of the world population. Four out of five members are among the world's ten largest countries by population and by area, except for South Africa, the twenty-fourth in both.
Members of G20, as of 2018, these five states had a combined nominal GDP of US$19.6 trillion, about 23.2% of the gross world product, a combined GDP (PPP) of around US$40.55 trillion (32% of the world's GDP PPP), and an estimated US$4.46 trillion in combined foreign reserves. The BRICS have received both praise and criticism from numerous commentators. Bilateral relations among BRICS states are conducted mainly based on non-interference, equality, and mutual benefit. The existence of the BRICS grouping does not signify a formal or informal alliance; there are multiple economic, territorial, and political disputes between the five governments.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    BRICS ina nafasi muhimu katika usimamizi wa dunia

    Watu wengi wamekuwa wakiifananisha BRICS na NATO, kitu ambacho si sahihi kabisa. Tofauti na NATO, BRICS haina makao makuu, na pia haina uhusiano na makubaliano ya kijeshi, badala yake, kundi hilo linajihusisha zaidi na masuala ya kiuchumi. Kundi hili la BRICS linaunganisha juhudi za nchi...
  2. L

    Mkutano wa BRICS waonyesha nguvu mpya katika mabadiliko ya mfumo wa kimataifa

    Mkutano wa kwanza tangu kuongezwa kwa nchi wanachama wa BRICS ulifanyika wiki iliyopita, ambapo rais wa China, Xi Jinping, alitoa hotuba na kusisitiza kuwa, ni muhimu kwa nchi wanachama kukutana kwa wakati huo na kupaza sauti kwa ajili ya haki na amani kuhusu suala la Israel na Palestina...
  3. L

    Mkutano wa BRICS waonyesha nguvu mpya katika mabadiliko ya mfumo wa kimataifa

    Mkutano wa kwanza tangu kuongezwa kwa nchi wanachama wa BRICS ulifanyika wiki iliyopita, ambapo rais wa China, Xi Jinping, alitoa hotuba na kusisitiza kuwa, ni muhimu kwa nchi wanachama kukutana kwa wakati huo na kupaza sauti kwa ajili ya haki na amani kuhusu suala la Israel na Palestina...
  4. ChoiceVariable

    Baada ya Nigeria kukataliwa kujiunga na BRICS+, yatuma maombi kujiunga na G20

    Nigeria ilituma maombi ya Kujiunga BRICS na Kukataliwa Kwa sababu za Kisiasa.Sasa imetuma maombi ya Kujiunga na G20 kundi la Mataifa yenye Uchumi mkubwa Duniani. Je watakubaliwa au watachinjiwa tena baharini? Tusubirie tuone. Mwisho Hivi hizi blocks Huwa na faidia ipi? Kwa mfano uanachama wa...
  5. L

    BRICS yaibua shauku ya nchi nyingi zinazoendelea kutaka kujiunga nayo

    Viongozi wa nchi wanachama wa BRICS ambazo ni kundi la nchi zinazoibukia kiuchumi, wamemaliza mkutano wao kilele wa 15 wa kila mwaka uliofanyika huko Afrika Kusini. Katika mkutano wa safari hii ambao umeanza Agosti 22 na kuendelea hadi Agosti 24, umekuwa ukifuatiliwa zaidi na watu mbalimbali...
  6. B

    Putin kukacha kwenda Sauzi kulikoni kimya hiki kutokea Buza?

    Ilikuwa makelele moja kwa moja ooh, mwamba Putin atatinga Sauzi kwenye mkutano wa BRICS. Kwamba hatishiki wala kukuruka. Ajabu na kweli tumesubiri wee hakuna cha Putin, Yeriko wala wale warusi nguli kutokea Buza walioweza kuyarejelea majigambo yao. Kwamba alikuwa busy na Yevgeny Pighozin...
  7. benzemah

    Gumzo Hotuba ya Rais Samia Mkutano wa BRICS

    Ushiriki wa Rais Samian Suluhu Hassan na kutoa hotuba katika mkutano wa Kimataifa wa BRICS uliofanyika mini Johannesburg, Afrika Kusini, umewaibua wachumi wamesema ambao mkutano huo una tija kubwa kwa Tanzania katika kumarisha diplomasia ya uchumi, kuipa heshima nchi kimataifa. Katika mkutano...
  8. B

    Wasaidizi wa Rais Samia: Mkutano wa BRICS nyie Mnamwandalia Rais Hotuba ya North-South Geopolitics

    Asalam. Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi, Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya...
  9. Mathanzua

    The growth of BRICS by inviting new members is welcome, but the block needs to be careful

    The growth of BRICS by inviting new members is a welcome development,but the block needs to be carefully because the West may use members to sabotage it. 24 Aug, 2023 The 15th BRICS Summit in South Africa has finally concluded but a lot of murmurs are making their way through the media. Most...
  10. Lycaon pictus

    BRICS ni OPEC mpya?

    Kwanza ninaona ni jambo zuri kwa hegomony ya USA kwenye uchumi wa dunia kuwa challenged. Kama ambavyo dola ya Marekani ilivyoiangusha paundi ya Uingereza kama sarafu ya dunia, ndivyo inapaswa nayo kuanguka. Lakini safari hii itapendeza kupata mchanganyiko wa sarafu zenye nguvu. Matumizi ya dola...
  11. Allen Kilewella

    Kama ilishindwa EU ndiyo BRICS itaweza kupambana na Marekani?

    Kuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo. Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani. Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
  12. benzemah

    Picha: Rais Samia Afanya Mazungumzo na Rais wa China, Xi Jinping Kwenye Mkutano wa BRICS

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
  13. BARD AI

    BRICS yapata wanachama wapya 6, Nchi nyingine 23 zimetuma maombi ya kujiunga

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametangaza kwamba kundi la mataifa yanayochipuka kiuchumi (Brics) litapokea wanachama wapya sita, ikiwa ni pamoja na Saudi Arabia, Falme za Kiarabu (UAE) na Iran, mwanzoni mwa mwaka 2024. Takribani nchi 40 duniani zimeonesha nia ya kuwa wanachama huku 23...
  14. M

    Saudi Arabia, UAE, Iran, Egypt, Ethiopia na Argentina zakubaliwa kujiunga BRICS

    Sasa BRICS itakuwa na wanachama 11 wenye sifa zifuatazo ● BRICS itakuwa na mataifa 6 kati ya 9 ambayo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta na gesi duniani. ● BRICS itakuwa na mataifa ambayo yana 80% ya oil reserve duniani. ● BRICS itakuwa na mataifa yenye jumla ya GDP $30.76 trillion. Asilimia...
  15. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki Mkutano wa BRICS Nchini Afrika Kusini

    Mkutano wa kilele wa BRICS umeingia siku ya 3 huko Johanesburg, Afrika Kusini. Nchi wanachama zinapania kuimarisha ushawishi kuukabili muundo wa uchumi wa dunia unaoongozwa na nchi za Magharibi. Viongozi wa muungano wa BRICSwamegeukia ajenda kuu ya mkutano wao, siku moja baada ya Rais wa Urusi...
  16. benzemah

    Rais Samia Kushiriki Mkutano wa BRICS, Afrika Kusini

    Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Air Force Base, Pretoria,nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo nakulakiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence Milanzi na viongozi mbalimbali waandamizi wa Ubalozi wa...
  17. L

    Mfumo wa BRICS+ wapongezwa na nchi za Afrika

    Mkutano wa 15 wa viongozi wa nchi za BRICS unafanyika nchini Afrika Kusini, ambapo viongozi wanaohudhuria mkutano huo wanajadili kwa kina mada mbalimbali ikiwemo kuimarisha ushirikiano na kupanua mfumo wa BRICS kuwa BRICS+. Afrika Kusini, ambayo ni nchi mwenyeji wa mkutano huo, imewaalika...
  18. M

    Nani anatuwakilisha BRICS Summit - South Africa?

    Tumealikwa kuhudhuria BRICS Summit huko bondeni. Nani maakilishi huko? NB: Mhe Dr Chakwera toka nchi jirani yupo SA yapata wiki Sasa.
  19. L

    Jamii ya kimataifa yapiga “kura ya ndio” kuhusu ushirikiano wa BRICS

    Mkutano wa 15 wa wakuu wa nchi za BRICS umeanza tarehe 22 mjini Johannesburg, Afrika Kusini. Huu ni mkutano wa kwanza wa uso kwa uso wa viongozi wa BRICS katika kipindi cha miaka mitatu, na pia ni mara ya tatu kwa mkutano kama huo kufanyika tena barani Afrika baada ya miaka mitano, jambo ambalo...
  20. L

    Jaribio la nchi za magharibi kuharibu uhusiano kati ya nchi za BRICS litashindikana

    Mkutano wa 15 wa wakuu wa nchi za BRICS utafanyika kuanzia Agosti 22 hadi 24 mjini Johannesburg, Afrika Kusini. Hii sio tu itakuwa shughuli kubwa kwa nchi za BRICS, bali pia itatoa fursa zaidi za maendeleo kwa nchi za Kusini duniani. Hata hivyo, nchi za magharibi na vyombo vya habari vimetoa...
Back
Top Bottom