Umewahi kuwa na wapenzi wangapi, unao wangapi na unajisikiaje?

Umewahi kuwa na wapenzi wangapi, unao wangapi na unajisikiaje?

hivi mpenzi ni yupi? ni uliosex nao au maana kuna wengine wanasex na mtu hata sio mpenzi wake inaitwa one night stand sijui?
hapa anataka idadi ipi ya uliodate nao au uliosex nao?
hilo nalo swali!!maana hapo aseme walioganganisha vikojoleo
 
mimi sijawai bado
Haya mambo ya hatari sana aiseeee.......
Vijana wa sasa wana mambo sana, badala ya kuwaza njaro, eti wanaka na kujadili kwamba walipita na wangapi. Kisha wakisha ona hawapati majibu ya kujiridhisha, wanakuja kutujaribu na sisi wazee humu jamvini.
Kimsingi mimi nikiulizwa swali hili nitajibu kwamba ninae mmoja tu, na ndie ninae mjua kwa wakati huo nilio nae. Maana hakuna haja ya kuanza kuwakumbuka wengine ilhali tayari unae wakwako mmoja kwa wakati huo.
Ebu ngoja niishie hapa, nisije nikajikuta namkosa hata yule nilie anza kumzoza humu jf[emoji5] [emoji5]
 
Haya mambo ya hatari sana aiseeee.......
Vijana wa sasa wana mambo sana, badala ya kuwaza njaro, eti wanaka na kujadili kwamba walipita na wangapi. Kisha wakisha ona hawapati majibu ya kujiridhisha, wanakuja kutujaribu na sisi wazee humu jamvini.
Kimsingi mimi nikiulizwa swali hili nitajibu kwamba ninae mmoja tu, na ndie ninae mjua kwa wakati huo nilio nae. Maana hakuna haja ya kuanza kuwakumbuka wengine ilhali tayari unae wakwako mmoja kwa wakati huo.
Ebu ngoja niishie hapa, nisije nikajikuta namkosa hata yule nilie anza kumzoza humu jf[emoji5] [emoji5]
eheheeee bado unafukuzia humu?
 
hivi mpenzi ni yupi? ni uliosex nao au maana kuna wengine wanasex na mtu hata sio mpenzi wake inaitwa one night stand sijui?
hapa anataka idadi ipi ya uliodate nao au uliosex nao?
Kuna tofauti gani kati ya ku-date na ku-sex?

Msaada Miss Natafuta..
 
Tatizo mnakutana na machangudoa wa shot time afu mnasema mmetembea wa wanawake 70

Mzee kufikisha wanawake 70 wa kutongoza na kiwa nao na mahusiano si mchezo. Kwa mwanamke akiamua kufikisha wanaume 70 waliomgonga ni kazi rahisi sanaaa. Hata 1000 akiamua anafikisha.

Ila takwimu zitakazotolewa humu inabidi zichukuliwe vice versa, maana sisi wanaume tuna tabia ya ku upnumber ili tuonekane mashababi na wanawake wana tabia ya kudownnumber ili waonekane decent.

Hahahaahaaa.
 
Back
Top Bottom