Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

NITIKE NDOSI

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
153
Reaction score
86
Habari za mapumziko wakuu,

Uzi niliokuja nao leo ni je umewahi kutatuliwa matatizo yako na mtu usiyemjua au ata unayemjua kwa masharti ya kutoa penzi?

Hasa wanawake ni wahanga katika hili.

Ebu funguka ilikuwaje?
 
Kutoa penzi kwa mashart ni ujinga. Nilikuwa nimeajiriwa serikalini, huyu boss alinitesa ikawa kerooo, nikaamua kuandika barua niende masomoni nimkwepe huwezi amini hakuwai kupitisha barua yangu, nikienda halimashauri naambiwa mkuu wa kituo kwanza apitishe.

Alinifanyia visa vingi sana kazi za ziada napewa mm ili mradi tu nichelewe kutoka, ila kwa kuwa alikuwa MTU mzima alikuwa alazimishi, ananiambia kwa ustaarabu, anasisisitiza kha! Nilivyoona keroo nikaacha kazi kiroho safiii nikaenda shule. Sijutiii na maisha yanasonga.

Ahaaa maboss bana wote wabafanana baadae ya shule nikaanza kutafuta kazi tena kha! Huyu interview alitaka nimfate hotelin, sikwenda, akatoa offer twende nje ya nchi alikuwa anaenda kikazi, Nikablock. Kazi za watu ni mateso ila kama kazi ni yako unapata bila mashariti.

In short siwezi kutoa penzi kisa kazi bora ikose, mm sio mremavu nitafanya shughuri nyingine.
 
Kutoa penzi kwa mashart ni ujinga. Nilikuwa nimeajiriwa serikalini, huyu boss alinitesa ikawa kerooo, nikaamua kuandika barua niende masomoni nimkwepe huwezi amini hakuwai kupitisha barua yangu, nikienda halimashauri naambiwa mkuu wa kituo kwanza apitishe.

Alinifanyia visa vingi sana kazi za ziada napewa mm ili mradi tu nichelewe kutoka, ila kwa kuwa alikuwa MTU mzima alikuwa alazimishi, ananiambia kwa ustaarabu, anasisisitiza kha! Nilivyoona keroo nikaacha kazi kiroho safiii nikaenda shule. Sijutiii na maisha yanasonga.

Ahaaa maboss bana wote wabafanana baadae ya shule nikaanza kutafuta kazi tena kha! Huyu interview alitaka nimfate hotelin, sikwenda, akatoa offer twende nje ya nchi alikuwa anaenda kikazi, Nikablock. Kazi za watu ni mateso ila kama kazi ni yako unapata bila mashariti.

In short siwezi kutoa penzi kisa kazi bora ikose, mm sio mremavu nitafanya shughuri nyingine.
Pole!!
Labda unavutia sana mkuu!!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kutoa penzi kwa mashart ni ujinga. Nilikuwa nimeajiriwa serikalini, huyu boss alinitesa ikawa kerooo, nikaamua kuandika barua niende masomoni nimkwepe huwezi amini hakuwai kupitisha barua yangu, nikienda halimashauri naambiwa mkuu wa kituo kwanza apitishe.

Alinifanyia visa vingi sana kazi za ziada napewa mm ili mradi tu nichelewe kutoka, ila kwa kuwa alikuwa MTU mzima alikuwa alazimishi, ananiambia kwa ustaarabu, anasisisitiza kha! Nilivyoona keroo nikaacha kazi kiroho safiii nikaenda shule. Sijutiii na maisha yanasonga.

Ahaaa maboss bana wote wabafanana baadae ya shule nikaanza kutafuta kazi tena kha! Huyu interview alitaka nimfate hotelin, sikwenda, akatoa offer twende nje ya nchi alikuwa anaenda kikazi, Nikablock. Kazi za watu ni mateso ila kama kazi ni yako unapata bila mashariti.

In short siwezi kutoa penzi kisa kazi bora ikose, mm sio mremavu nitafanya shughuri nyingine.
kwa guu ilo la bia kwenye avatar acha wakusalandie tu kwa kweli
 
Ni kweli ni mbaya sana, ila kuna wanawake au mabinti wengi sana tu ukishamsaidia kiroho safi na wala hauna haja ya papuchi yake ye ndo anakuwa wa kwanza kukutega! Yaani huwa hawana njia mbadala ya kushukuru zaidi ya kukupatia papa! Sio wote ila ni wengi sana tu
Uko sahihi mkuu!
Binafsi imewahi kunitokea nikiwa chuoni! Kuna mdada wa makamo nilikuwa namsaidia masomo hasa hesabu maana ndo ulikuwa ugonjwa kwake. Nikashangaa anang'ang'ana kuja kupajua ninapokaa!! Maana mi nilikuwanimepanga off compus, wakati yy anakaa hostel. Kumbe anataka kunizawadia papuchi bana!!!
Basi mapenzi ya mungu yakatimia[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
kutoa penzi kwa Bosi ili upate kazi au uendelee kudumu kazini ni ujinga maana dhamana yako ni penzi na likiisha ina maana hauna kazi, thamani yako kama mwanamke inakua imeshuka mno hakuna kitu kibaya labda uko ndani ya ndoa mumeo ajue bosi wako anakumega hizo ndoa hua hazidumu huishia kuvunjika.
na wanawake wengi huambukizwa magonjwa hasa HIV kupitia mapenzi ya namna hii.
 
Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya muda world vision, bosi Wangu alikua mama mchungaji decent sana ambaye mume wake alikua anaishi arusha, yule dada alikua mikausho sana ofisini na hazoeleki, kila jumanne nilienda nae store kufanya stocktaking, siku moja tumefika store tunakagua ghafla akanivuta kwenye magunia akaanza kunibambia huku tukidendeka nilishtuka ila nikaona kama ameanzisha acha nimpelekee tu moto, kuanzia siku ile tukawa kila tukifika store lazima nimbandue tuliendelea kimya kimya na hakuna aliyejua, cku moja akaniita kwake huko ndo nilienda kumfanyia laana nyonya sana hadi mkundu, mama mchungaji alichanganyikiwa hadi of is in I baadhi ya watu wakaanza kusanukia, hadi sasa sipo tena pale ila tunawasiliana.
 
Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya muda world vision, bosi Wangu alikua mama mchungaji decent sana ambaye mume wake alikua anaishi arusha, yule dada alikua mikausho sana ofisini na hazoeleki, kila jumanne nilienda nae store kufanya stocktaking, siku moja tumefika store tunakagua ghafla akanivuta kwenye magunia akaanza kunibambia huku tukidendeka nilishtuka ila nikaona kama ameanzisha acha nimpelekee tu moto, kuanzia siku ile tukawa kila tukifika store lazima nimbandue tuliendelea kimya kimya na hakuna aliyejua, cku moja akaniita kwake huko ndo nilienda kumfanyia laana nyonya sana hadi Makalio, mama mchungaji alichanganyikiwa hadi of is in I baadhi ya watu wakaanza kusanukia, hadi sasa sipo tena pale ila tunawasiliana.
Ko mama mchungaji alikua anaenda stock huku hajavaa chupi,,,,,kama mpaka matako yalinyonywa ilibaki kidogo akutajie sadaka znaingia kwny a/c ipi
 
Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya muda world vision, bosi Wangu alikua mama mchungaji decent sana ambaye mume wake alikua anaishi arusha, yule dada alikua mikausho sana ofisini na hazoeleki, kila jumanne nilienda nae store kufanya stocktaking, siku moja tumefika store tunakagua ghafla akanivuta kwenye magunia akaanza kunibambia huku tukidendeka nilishtuka ila nikaona kama ameanzisha acha nimpelekee tu moto, kuanzia siku ile tukawa kila tukifika store lazima nimbandue tuliendelea kimya kimya na hakuna aliyejua, cku moja akaniita kwake huko ndo nilienda kumfanyia laana nyonya sana hadi Makalio, mama mchungaji alichanganyikiwa hadi of is in I baadhi ya watu wakaanza kusanukia, hadi sasa sipo tena pale ila tunawasiliana.
Mkuu mbona umeanika kila kitu? Una uhakika hayupo umu???[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uko sahihi mkuu!
Binafsi imewahi kunitokea nikiwa chuoni! Kuna mdada wa makamo nilikuwa namsaidia masomo hasa hesabu maana ndo ulikuwa ugonjwa kwake. Nikashangaa anang'ang'ana kuja kupajua ninapokaa!! Maana mi nilikuwanimepanga off compus, wakati yy anakaa hostel. Kumbe anataka kunizawadia papuchi bana!!!
Basi mapenzi ya mungu yakatimia[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sema matakwa ya shetani yakatimia
 
Back
Top Bottom