Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
Ndio maana yule changu alikupa mpaka ukakojoa zambiMwenyewe..
Ndio maana yule changu alikupa mpaka ukakojoa zambiMwenyewe..
Bro vipi kwan😂😂😂😂Mmh! Seriously?
Kwamba mkewangu aniseme hadi nilie?duh Where is my manhood strength?Bro vipi kwan
Changu gani Tena..?Ndio maana yule changu alikupa mpaka ukakojoa zambi
Hakurudi kuomba msamaha?Mi mwanaume aliwahi nisuta mbele ya kadamnasi nililia sana alinisema ya nguoni na umbo langu naakanisema sana.
Hapana sio itashusha uanaume wako . tena unaweza ukasemwa kwa busara ukalia haswa. Ukaona mke anavyokujali hataki upoteeKwamba mkewangu aniseme hadi nilie?duh Where is my manhood strength?
Wa kona barChangu gani Tena..?
Mh! Hata simjui aiseeWa kona bar
Yeye bado anakukumbuka..ni mteja wanguMh! Hata simjui aisee
Mimi mwenyewe nimetoka kulia sasa hivi baada tu ya kuniambia eti ananipenda sana. Jana pia nililia baada ya kuniambia eti ameniota usiku.
You can't be seriousYeye bado anakukumbuka..ni mteja wangu
No that muchYou can't be serious