Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Mungu baba wa Mbinguni alishatupana kutufanyia kila kitu ni ww tu kuamua kwamba unataka nn na unataka kuwaje ukikaa kwenye line ambayo yy anataka ni kiasi cha kujichukulia tu maana umekaa kwenye timeline yake, ni haki yako ww kuwa mzima, ni haki yako ww kuwa na furaha ni hali yako kuwa tajiri na masikini ,kuwa na familia bora kuwa na kila kitu utakacho lakini kwasababu wengi wetu hatujui nn Mungu anataka tufanye unakuta tunapotea ila kama kila kitu alishatufanyia ndio maana Yesu alisema imekwisha ,.na pia katika Bible aliposema ombeni lolote kwa jina langu mtapewa. Ukitambua hutahangaikaNyinyi walokole waongo sana.
Ivi kama kunauwezekano watu wa kuongea na mungu inakuwaje duniani watu wanahangaika sana na matatizo.
Na kama mtu ukiiangali sana hii dunia yote imejaa ni matatizo tu.
Utasikia x kansa x ebola x ukimwi nk.
Lakini leo hii anaibuka mtu mjinga mjinga anasema anaweza kuongea na mungu.