Ili uwe mwana wa Mungu ni lazima uwe umempa Yesu maisha yako serious.Yohana1:12. huu ndio ufunguo wa kila kitu.
Ndio hapo hapo unapoongea nae!mwambie Baba nisamehe nimefanya hivi na hivi.Inabidi uhakikishe umetubu na uko safi, ndio ujipange kupiga story,
Kuna wakristu ni wazuri sana kuwa nao karibu, na huwa wana busara sana. Nahisi mtoa mada ni mmoja wao.
Ila kuna walokole wengine ni kichefuchefu, wana tabia ya kujiona wao wana haki kuliko wengine, wanatabia ya kujiona wao wanastahili kuliko wengine, wanatabia ya kujiona wao ni bora na wako sahihi kuliko ambao si wa imani yao. Huwa nikikutana na wa aina hii, napitaga zangu kushoto for good.
GoodNakumbuka nilipatiwa hili somo wakati napata kipaimara. Somo la injili lilitoka katika hiyo verse. Lilinigusa sana na mpaka leo ni karibu miaka 15, halijatoka kichwani hata sasa.
Hhhhhhh mambo yakuongea na Mungukwani kwa asubuhi bado kunaendelea? nitajaribu aisee nina mambo mengi sana ya kuongea na Mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu!: Mungu ana maajabu tusiyoweza kuyadhania.Umeonaee
Hebu jaribu na wewe...
Halafu njoo pale kwa asubuhi bhana