dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 989
- 1,523
Tuasubiritupo kwa ajili yenu.
Tuasubiritupo kwa ajili yenu.
Mufti unajua kwanini upo hapa..Au unajifariji.!?Mimi najua kwanini niko hapa.
Vipi wewe unajua kwanini uko hapa au ushawahi kujua majibu ya maswali yako unayapataje ?
Akili salama lazima ijue ya kuwa duniani tunaishi kwa malengo na si kwa bahati mbaya,sababu hiyo bahati mbaya hakuna anae weza kuithibitisha.
Swali zuri. Labda aliyetuweka hapa bado hajataka fumbo lifumbuliwe hata kizazi cha tatu na cha nne kipite. Kumbuka wamepita wengi waliokuwa na nadharia za ajabu vichwani mwao ambazo zingeletwa ktk uhalisia pengine dunia isingekuwa hapaSafi kabisa,je hudhani kama chanzo cha sisi kuwepo hapa kinatakiwa kijulikane na ndio kitakuwa na majibu ya kwanini sisi tupo hapa na kwanini vilivyomo hapa duniani vina uhusiano kati ya kimoja na kingine ?
Mufti unajua kwanini upo hapa..Au unajifariji.!?
Swali zuri. Labda aliyetuweka hapa bado hajataka fumbo lifumbuliwe hata kizazi cha tatu na cha nne kipite. Kumbuka wamepita wengi waliokuwa na nadharia za ajabu vichwani mwao ambazo zingeletwa ktk uhalisia pengine dunia isingekuwa hapa
Sijui kama nitakuwa sahihi kuiita hypothesis nadharia. Kama ndivyo nenda kwenye millennium prize problems ukajinyakulie US$1,000,000 endapo utafanikiwa kusolve Yang–Mills existence and mass gapKwanini unasema hili ni fumbo ?
Hao wali pita kwani hapakuwa na walio kuwepo kabla ya walikiwa na majibu ya swali hilo ?
Unaweza kutupa mfank wa nadharia hata moja kwayo iliyokufanya ufikie hitimisho hilo hapo mwisho wa maneno yako ?
Elimu "zenu" zipi?Mabadiliko mbalimbali yaliyoikumba sayari yetu yangetosha kutengeneza mabuku makubwa jiographia na historia na kutoa elimu sahihi wapi tumetoka na wapi tunaelekea.
Na juu ya yote kwanini tuko hapa tulipo hapa sasa. Kinyume chake uongo, uzushi vimekuwa muhimili wa elimu yetu ya zama zote.
Elimu "zenu" zipi?
Ikiwa huelewi kwanini upo hapo ulipo hiyo nayo utaiita elimu?
DINI YA KWELI YA MWENYEZI MUNGU NI IPI?Hivi ninyi mnakuwaje na uhakika wa pahala mlipo kwa kutegemea masimulizi ya mababu zenu na kujihakikishia kwamba mpo sahihi kiasi kwamba mnaweza kuwasadikisha na wengine ..!?
Ninacho kishangaa mimi ni kule kujiamini kwenu kwa misingi inayobadilika kwa kila mtu na tafasiri yake_ni kongwa kiasi gani kujiweka kwenye state ya kiwango hicho..!?
Sasa katika hali hiyo, yule anayetafuta ukweli vipi ataweza kuchagua njia iliyosahihi?
Mwenyezi Mungu ametupa sote akili na uwezo wa kutuwezesha kufanya maamuzi sahihi na ya maana. Nayo ni maamuzi muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Mustakabali wake unautegemea uamuzi huo, kufuatana na hilo, kila mmoja wetu lazima achunguze ushahidi uliotolewa bila kupendelea ndipo achague kile kinachoonekana kuwa ni sahihi mpaka pale ushahidi mwingine utakapotokea.Naona kama umeishia njiani na umenisaidia nyongeza ya maulizo
Iweje uwe na uhakika wa ukiaminicho kuwa ni sahihi na ukajihisi huru kukielezea..!?
Huoni ni kama kulazimisha uhuru wa fikra wenye uhakika kwenye misingi dhaifu ya dhana, wenye kuweza kukupelekea kujiamini kwenye madhara..?
Tupo kwa ajili ya kuumizana mioyo, kulia, kufarijiana, na kuumizana Tena mioyo, na kulia Tena na kufarijiana hivyohivyo Hadi mauti
InastaajabishaHivi ninyi mnakuwaje na uhakika wa pahala mlipo kwa kutegemea masimulizi ya mababu zenu na kujihakikishia kwamba mpo sahihi kiasi kwamba mnaweza kuwasadikisha na wengine ..!?
Ninacho kishangaa mimi ni kule kujiamini kwenu kwa misingi inayobadilika kwa kila mtu na tafasiri yake_ni kongwa kiasi gani kujiweka kwenye state ya kiwango hicho..!?
Mabadiliko mbalimbali yaliyoikumba sayari yetu yangetosha kutengeneza mabuku makubwa jiographia na historia na kutoa elimu sahihi wapi tumetoka na wapi tunaelekea.
Na juu ya yote kwanini tuko hapa tulipo hapa sasa. Kinyume chake uongo, uzushi vimekuwa muhimili wa elimu yetu ya zama zote.