noname amejibu saw , labda kushinda wote!!!!!!!!!
maisha kwa mtazamo wa hapa duniani ni kula, kunywa na kucheka na yote yanaosababishwa na yanayoambatana na hayo. lakini maisha kwa mtazamo mpana unaojumuisha more than the immediate realm of realties, yaani kwa mtazamp unaozingatia ukweli uhusuo ulimwengu wa roho, ni kuishi kama kiumbe cha kimwili na kiroho na kupokea tuzo zote za ulimwengu huo mpana (multidisciplinary)
kwa kujumuisha, kuna raha sana hapa duniai kama ilivyo pia kuwa kuna shida sana. raha ya maisha ni kula, lunywa na kucheka na huwezi kuitafakari in theinterval of years bali hutokea in the interval of the smallest unit of time (possibly a fraction of a second)....
maisha ni mazuri sana ila yapaswa kuboreshwa kwa kumjua Mungu, kumtukuza na kutazamia a more advanced spiritual life. vinginevyo hutaona raha ya maisha!!!
maisha kwa mtazamo wa hapa duniani ni kula, kunywa na kucheka na yote yanaosababishwa na yanayoambatana na hayo. lakini maisha kwa mtazamo mpana unaojumuisha more than the immediate realm of realties, yaani kwa mtazamp unaozingatia ukweli uhusuo ulimwengu wa roho, ni kuishi kama kiumbe cha kimwili na kiroho na kupokea tuzo zote za ulimwengu huo mpana (multidisciplinary)
kwa kujumuisha, kuna raha sana hapa duniai kama ilivyo pia kuwa kuna shida sana. raha ya maisha ni kula, lunywa na kucheka na huwezi kuitafakari in theinterval of years bali hutokea in the interval of the smallest unit of time (possibly a fraction of a second)....
maisha ni mazuri sana ila yapaswa kuboreshwa kwa kumjua Mungu, kumtukuza na kutazamia a more advanced spiritual life. vinginevyo hutaona raha ya maisha!!!