Umewahi kufika ktk kambi ya polisi au magereza?

Bra-joe

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,562
986
Hii ni orodha fupi ya kusikitisha ya niliyoyaona ktk kambi hizi:

1. Choo kimoja hutumiwa na familia zaidi ya 4, mara nyingi kimejaa au kuvuja pembeni.

2. Maji taka hayana sehemu ya kwenda, hutengeneza tope ktk mitaa ya kambi hizi linalosababisha BATA kushamili, kila baada ya nyumba 2 ya 3 kuna bata.

3. Nyumba nyingi zina vyumba 2 kama familia ina watoto wa kike na kiume hapo inakuwa noma kweli.

Mwisho ningeiomba serikali iboreshe kambi hizi.
 
Hii ni orodha fupi ya kusikitisha ya niliyoyaona ktk kambi hizi:

1. Choo kimoja hutumiwa na familia zaidi ya 4, mara nyingi kimejaa au kuvuja pembeni.

2. Maji taka hayana sehemu ya kwenda, hutengeneza tope ktk mitaa ya kambi hizi linalosababisha BATA kushamili, kila baada ya nyumba 2 ya 3 kuna bata.

3. Nyumba nyingi zina vyumba 2 kama familia ina watoto wa kike na kiume hapo inakuwa noma kweli.

Mwisho ningeiomba serikali iboreshe kambi hizi.
Ni kweli unayoyasema lakini wahusika wenyewe ni km hawaoni kuwa wanashida kwenye makazi yao wamekalia kutumiwa kuzuia maandamano ya kudai haki
 
Hii ni orodha fupi ya kusikitisha ya niliyoyaona ktk kambi hizi:

1. Choo kimoja hutumiwa na familia zaidi ya 4, mara nyingi kimejaa au kuvuja pembeni.

2. Maji taka hayana sehemu ya kwenda, hutengeneza tope ktk mitaa ya kambi hizi linalosababisha BATA kushamili, kila baada ya nyumba 2 ya 3 kuna bata.

3. Nyumba nyingi zina vyumba 2 kama familia ina watoto wa kike na kiume hapo inakuwa noma kweli.

Mwisho ningeiomba serikali iboreshe kambi hizi.
i

Watakumwakye....................unaaanza kutoa siri za Serakali
 
Ndiyo maana askari wamechanganyikiwa kwa kunusa kinyesi muda wote.
 
watoto wa polisi line hasa wae wa kike huharibiwa mapema sana
 
Back
Top Bottom