afya ina mushkeli paroko..najiskia ovyoo...naombea tu kiwe kitu kingine si dengue asee
umeona ee..yani mie nakuwa napata tabu kweli..
somo la uvumilivu itabidi limuingie
Pole sn dada yng!
Kaizer Nakusalimia! Yani unanipita tu hivihivi? Au huo UPENDO unaousema Ni Kwa jinsia tofauti ndio upo? Kwa same gender lol!
afya ina mushkeli paroko..najiskia ovyoo...naombea tu kiwe kitu kingine si dengue asee
Unamfahamu daktari wa magonjwa yote na anayefufua wafu? Ni mmoja ty naye ni Yesu atayekuponya na magonjwa yako yote ameen
miss chagga anavaaga night dressmwekundu na wewe umeanza tena swali hilo.... mi nitamwambia miss chagga oooohhhoooo
Ng'wana Nzengo! Tuliho?......huyu mwallu huyu bana....ana upendo wake maalum kabisa ila hauna uhusiano na kukupita maana hata Sara na Ibrahim walipatamo mtoto kwa ukarimu wao wa wageni...si walimwomba yule malaika asiwapite hivi hivi? Na kumbe ikawa bahati...kuna ujumbe ntakupa upeleke Kahama ndugu yangu Ntuzu
Haaaa haaaaa haaaaa..... kha! mbona ningepasua simu nimtoe
Tatizo aliyekuuliza usiku umevaaje HANA hela so ikaona anakukera tu!
Angekuwa kakuuliza hivyo Ridhiwan ungesema kila kitu tena kama ulivaa under skirt ungedanganya kama umevaa thong tu!
Mhhh hela ahahahahahaah
Aku! mi nimpe namba namjua...! jitu sijui linatoa wapi namba yangu
Nitafurahi sana maana, nimechoka na silipendi hilo swali