Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

🀣🀣🀣🀣Unaleta utemi kwenye nyumba ya watu?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nyumba yetu.
Sisi ni mwili mmoja

Sasa chakula atakula saa ngapi km mpk muda huu hajarudi na JF anapatikana ila simu hapokei!!!
 
Jamaa mjanja sana hajataka maneno mengi kamtangulizia antonnia mil 100, kazi kwa antonnia kuikubali au kuikataa[emoji23][emoji23]
Antonnia ndo alomwambia sir midabwada atafute mill 100 ndo wakae mezani wajadiliane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lasivyo asimsumbue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Antonnia ndo alomwambia sir midabwada atafute mill 100 ndo wakae mezani wajadiliane [emoji23][emoji23][emoji23]
Lasivyo asimsumbue [emoji23][emoji23][emoji23]
Mil 100 anayo au ndio anaenda kuitafuta??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nabii anajiweza, kachafuka pesa.
Hategemei sadaka za waumini
Amen,
ni kweli na hakika, Mungu Atosha...
Sadaka ni muda na utayari wako wa kumpokea bwana kuwa mokozi wa maisha yako. Ile ingine ni ziada, hiari na uamuzi yako...

Amekupa bure, kwa moyo wa upendo toa bure kiasi tu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…