Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Una picha yake?Nabisha.
Una picha yake?Nabisha.
Kabisa kungwi hongera 😂😂😂Mwari umehitimu😍
Hongera mwari wangu hongera, nami somo yako nihongere🤣
Watu weuweeee!!!We acha tu
Nimekuwa wa mjini
Hivi nilitaka nizikate hapa maana zimekuwa ndefu...wakanipa rangi nipake.
Mimi kucha zangu nakata Kila wiki ila zinakua haraka sana.





Siamini kama jf nzima kuna manzi ana msambwanda, hadi nihakikishe. Watoto wa humu wapo flat kama wachina.Una picha yake?
😂😂😂 kumbukumbu muhimuWatu wanapekua mafile yako ya nyuma tu jf kibokoo😁!
Bas sorry! Tuishie hapo kwa leoHaha mkuu kwanini umenifananisha na huyo, mimi siyo mwanajeshi wala, hiyo intake unayosemea ni wale wa military science walioapishwa leo au
Cacha bayaa, mfyuuuuh




Mamy k mzuri sanaKabisa kungwi hongera
Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol![]()

Hiki ni kijiwe nongwaa, mie ni Zai.Story sana,tupieni mlivyovyaaga.




Kina kisigino
Design ya vile viatu vya zama za wakoloni
Na ndo nilichokipendea.
Mbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipyayangu mpaka ruhusa
Alafu antonnia nimemiss hips lako![]()
Ni kweli kabisa mkuu.Mbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipya
Unalo banaMbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipya

Ulikua hujauona?
SawaSitaki.
Mwambie atubless basi tumuone 😍😍Mamy k mzuri sana![]()
Sijauona 😜Ulikua hujauona?