Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiriš¤£Ninini hasa kilitokea best
Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiriš¤£Ninini hasa kilitokea best
Ndo hapo sasa, wangepiga ban watu waloleta kash kash, sie wengine baada ya kusawazisha majambo afu wangeamua wafanye nn
Kwani usiku napo kiliwakaa tenaa?Waliobishana ule usiku ndio waliouponza uzi





Em nipe kwan na mie,Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiri![]()




Tena mpe ile yake aliyosemwa šKama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiriš¤£
HeeKwani usiku napo kiliwakaa tenaa?![]()
Sitaki uchonganishi kabisašTena mpe ile yake aliyosemwa š
Ulienda wapi shoz?Em nipe kwan na mie,![]()
Hee
Tatizo lako unaswampa mno Shozzz na wewe khaaaah!
![]()



G ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.Ulienda wapi shoz?
Mbona ni mida ileile tu uliyotuma tambo zako




nililala, šššG ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.
Mda wote ananiweka buzzy, bas had watu wananishangaa mbona nimepoa sana, wallah nifanye kuchachukaa kupoa sio shda zangu kabisaa.
G akuache kwanza
Unapitwa Shozzz
Nashangaa hata zile za nyuma unalialia tu
Tulioshuhudia picha lote tunakutazama tu,,,shida husalimii wakubwa ati![]()



kuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"




Kweli umekuwa zezeta shoz weehkuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"
Sahiv G aniache kwa kweli, yaan napitwa na ma ubuyuu had siamini km ndo mie eti.
Nafikia hatua umbea nauliza kwa watu?
Hapanaa hii haiwezekan.
nililala,
Wee jana nilichoka sana, ndo nkatoa tangazo ili watu wawe tayari kwa ujio wangu.
Kweli umekuwa zezeta shoz weeh
Khaaaah
Hatujakuzea hivyoooh
Wewe ndo wa kulialia umbea hauujui kweli!
Mikoba aliyokukabidhi Warumi unapwaya sasa![]()




G aniachee kwa kweliii.Ilikuwa kivumbi shosss
Walitegea mida ya wanga
Hata mimi nilishtuka usingizini ndo nikakutana na mtanange



yaan JF, nasikia had watu waloitana pacha, jana walitifuanaa balaaa.