Mshana Jr hongera kwa misukule yako, ikifungiwa uzi huu inakuja huu kokokoHahahahaa
Tangu hiyo siku nilijifunza kuwa - ktk maisha ni furaha zaidi kutenga muda kuappreciate watu wazuri na moments nzuri maishani, kuliko kupoteza muda kukumbuka watu wabaya ama moments mbaya maishani.
Bad people/moments makes us stronger, good people/moments makes us happier




Njooo
Una damu kali sana.
Mshana tafadhali sana brother
Yaani acha tuEeh kumbe SELFIKA imekula rungu tena? Wachafuzi ni akina nani hao?



Ilikuwaje tena? Hamkuwarepoti? Siku hizi nalala sana sijui uzee?




😂😂 ila wewe
Sijui mambo ya aftatu
Wakatukana hadi wazazi wao.
Watu wana tabia mbaya humu 🤣🤣Mungu wangu![]()