😂😂 ila wewe
Umesababisha uzi umefungwa![]()



ndo naingia kulee nakuta kufuli, na akati nilipangaa nikasawazishee mamboo.Bado wenginee hatuja clear majambo,Mshana tafadhali sana brother
Waambie mod wakuachie uzi wako
Waondoke na watu wanaoleta mambo yao




Fungua Uzi usawazishe Cocando naingia kulee nakuta kufuli, na akati nilipangaa nikasawazishee mamboo.
Yaan modes wamejua kunikatiliii mnoo, kwann lakiniii aaaah
Bado wenginee hatuja clear majambo,
Wafungue uzi, afu watuachee tujifaraguee, afu watutoee mbma fresh tyuuh.
😂😂 yaliyopita si ndwelendo naingia kulee nakuta kufuli, na akati nilipangaa nikasawazishee mamboo.
Yaan modes wamejua kunikatiliii mnoo, kwann lakiniii aaaah
Hata kama sio member wa MMU na Selfika ila nataka nijue nini chanzo cha kufungiwa kwa uzi au huko usemapo wamekivuruga hasa.Yaani acha tu
Watu wamekiwasha tena usiku brother
Nimeamka nikakuta moto unawaka.
Nataka ndani ya uzi wa selfika, kwa hili, naenda 1 kwa 1 kwa mello, awaambie modes wafungue uzii, ili na mie nisawazishee vituu.Fungua Uzi usawazishe Coca
Tunakusubiri




modes kwann waoga sana, kila likija suala mie kufungukaaa wanani zuia, aaaahNdo hapo sasa, wangepiga ban watu waloleta kash kash, sie wengine baada ya kusawazisha majambo afu wangeamua wafanye nnWao wasingefunga Uzi
Wangelima tu ban watu Uzi watuachie
Punguza ukorofi mjukuuNataka ndani ya uzi wa selfika, kwa hili, naenda 1 kwa 1 kwa mello, awaambie modes wafungue uzii, ili na mie nisawazishee vituu.
modes kwann waoga sana, kila likija suala mie kufungukaaa wanani zuia, aaaah
Active alikuja kuwapa warning, hamkusikia 🤣🤣Wao wasingefunga Uzi
Wangelima tu ban watu Uzi watuachie
Mazito mkuu, nje ya umri 🤣Ninini hasa kilitokea best
yaliyopita si ndwele
Ganga yajayo tu



ila nyie nimechekaa, nlivyokuta kufuli tyuuh, nkasema tayarii modes wameshaamua kunizuiaa,Waliochana mkeka ni wale waliokesha usiku 😂😂Active alikuja kuwapa warning, hamkusikia 🤣🤣