Inatosha nauli. Mwambie konda wee mwanafunzi🤣🤣Mnapata pesa mingi sanaa rafiki,Hapa kwa wallet niko na Quarter Dollar tu.
Student?Inatosha nauli. Mwambie konda wee mwanafunzi🤣🤣
Wee vaa kapelo mengine atajua konda🤣🤣Student?
🤣
Kuna mwanafunzi mzee analipa kiasi kidogo?🤣
Sawa,nakuletea hiko kiaisi pia unisaidie na uniform nipande gari kama mwanafunzi.Wee vaa kapelo mengine atajua konda[emoji1787][emoji1787]
Tunatafuta nguo za sikukuu kwan,cocastic Tayana-wog mmevaa nini???? Naomba mnibless pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Mi huna shirt 2 za shule ya msingi. Njooo nauli tunawaachia wakubwa🤣Sawa,nakuletea hiko kiaisi pia unisaidie na uniform nipande gari kama mwanafunzi.
I'll be there in 5mns.View attachment 2851415
Wee Nije wapiWee unasemaje rafiki au unakuja kuichukua?🤣🤣
Cna neno mie [emoji119]Mi nilisemaga ugomvi wote ule mdada anampenda mno jamaaa mkanibishia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio maana ugomvi ulikuwa hauishii
Nimekosa mie!!!Tulisemaaa ukawa unatubishia bibie hapinduiii [emoji23][emoji23]
Mapenzi hayaingiliwii, nimekosa mie, nimekosa sana.Tulinangwaaa lakin sie tunajua bibie kwa jamaa hatoboiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coca alinichamba aombe msamahaaa
Kwahio mpo uchi??? 😁😁😁😁!Tunatafuta nguo za sikukuu kwan,
Mie hujanitajaa mbna? [emoji23][emoji23][emoji23]Naanza kupokea zawadi za birthday [emoji28][emoji28]
Omulasil raraa reree Zulu man
Antonnia binti kiziwi Dejane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wengine sijawataja hapa nisijaze server za jf
Kablq sijaamua kuwa bless maphoto
🤠Mapenzi hayaingiliwii, nimekosa mie, nimekosa sana.
Kabeeesa 🐒😁Mapenzi hayaingiliwii, nimekosa mie, nimekosa sana.