Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,520
- 95,044
Shauri yako 😂😂😂😂Mxxxxiiiiieeeeew!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilipita bila kuweka emoji, kitu naked
Shauri yako 😂😂😂😂Mxxxxiiiiieeeeew!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh sorry.Sio huyo nawe [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni bff wangu sio ms eyes bana
Mmmmh, nimewaona waliokaangwa leo wengi wanapitisha kuuza majumbani,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbikumbi watamuu, jana tuliamka kudakaaa, nilikula wabichi wee, sahv walio kaangwa.
Wee hukuli kwani??
Akupeleke kwakweli unateseka huku jua kali 😂😂😂@Kiranga baba tamuu, njoo unichukue unipelekee huko San Diego, maana uduguu ananinyasanyasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] leo akitoka hapo monduli, kesho anaelekea [emoji1264]kuchukua mafunzo ya u commando.Bado wewe na jamaa wa NYC [emoji23][emoji23][emoji23]
Andaa sare...ukakate kitambaa tandikaa ndyo vina maua mazuriNimetulia miye teeeena!!!
Mume tunaye 😂😂😂
Yeah sometimes unaacha hewa ipite miguuni kidogo😀Njema kabisa, naona ulivotokelezea "kiwikendii" [emoji28]
Sio, yule mwingine ana mume naye nilikazia mpk kapata wake wa maisha 😂😂😂😂Oooh sorry.
Nilijua ni huyo eyes
Ahaa shemejiiiHuyu si ndio yupo na yule dogo mshamba, au nachanganya?
Wee watamu mnoo, [emoji23][emoji23][emoji23]Nawaogopa [emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu wewe jasiri
Inasaidia sana, kuna siku ukweni utapewa sufuria ya kupika ugali mkubwa hata kilo 5 ukaingia mitini.Tunaijua hiyo, test ya kuosha vyombo na kupika ulisikia wapi 😀😀
Jibonge fulani
Wee siwezi!! Vile nikiwaona nahisi km mende 😂😂😂😂Wee watamu mnoo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Jaribu cku uonje.
Kamix mafile huyo 😂😂😂Ahaa shemejiii
Halafu nilitaka kumuita apate taarifa ajue simtaki tena yule mbabu wake sahivi nipo na kitu brand new kina passport na mihuri kama yoteeeOyoooooo!!! Joannah sisy Hatimaye bff wangu anaolewa.
Njoo unisaidie kuchagua kitambaa kizuri cha sare 😂😂😂
Yupo na nani?Sio, yule mwingine ana mume naye nilikazia mpk kapata wake wa maisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ss hivi muda wote wanabebishana mahaba km yote
I'm sorry nilichanganya na missy eyes[emoji119]Ahaa shemejiii
Kilo 5 peke yangu? Huko kukomoana sasa lazima nitoke speed😀Inasaidia sana, kuna siku ukweni utapewa sufuria ya kupika ugali mkubwa hata kilo 5 ukaingia mitini.