Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

😂😂😂 Si uende matombo!!
Wewe ulipewa chaka na wajukuu wa Abood unashindwa kufanyia kazi.
Ila Gang niliyokuwa nayo ilikiwa inanipa pressure.
"Hey zungu,uko matombo wanaenda watu kuchukua uchawi sana"

"Hata hawa wanaenda huko kwa ajili ya buses zao ili watoe kafara"
🤣

Hakika ile miaka ilikuwa ni ujinga🙌

Msalimie shemeji yangu wa utotoni mr "Y", makazi yake Dubai kwa sasa...
 
😂😂😂 mfyuuu!!
Sema unataka nikazie hapo kwa chugaman.
Serious...

Sikuwa nimeeelwa ila nimepata majibu,sipendi aibu ndogondogo zinioneshe mimi mshamba ndio maana sikutaka kuweza wazi wapi sikuelewa.🤣
 
Ila Gang niliyokuwa nayo ilikiwa inanipa pressure.
"Hey zungu,uko matombo wanaenda watu kuchukua uchawi sana"

"Hata hawa wanaenda huko kwa ajili ya buses zao ili watoe kafara"
🤣

Hakika ile miaka ilikuwa ni ujinga🙌

Msalimie shemeji yangu wa utotoni mr "Y", makazi yake Dubai kwa sasa...
Nawe ulizidi ubabe na kutaka kula gabacholi kimasihara 😂😂😂

Sema walikutisha wala harogei matombo, Yule uchawi wake anausafiria kwa kina Okwonkwo Legoo uko na Malawi

Naona unataka niachike sasa!! Y ndio nani?! 😂😂
 
Nawe ulizidi ubabe na kutaka kula gabacholi kimasihara 😂😂😂

Sema walikutisha wala harogei matombo, Yule uchawi wake anausafiria kwa kina Okwonkwo Legoo uko na Malawi

Naona unataka niachike sasa!! Y ndio nani?! 😂😂
Mzee patel aliniambia nitakuwa jambazi🤣🙌, baada ya issue ya mwisho nzito kudhamiria kuifanya,nilipewa kichapo nikawa mwekundu na chozi halitoki.

Huwezi kuachwa mdogo wangu,uzuri si hukumpea kwa bibi 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom