Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ulisema akaunti nikuwekee ile 01J..... au ile 022..... kwa ajili ya bday yako?
Mimi bday niiotoe wapi?! Hata tarehe niliyozaliwa sikumbuki!! 😂😂😂
Bday ya Tayana anazaliwa pamoja na Jesus.
Wewe muwekee pesa ya cake, kwangu utume ya vinywaji 😜
 
Mimi bday niiotoe wapi?! Hata tarehe niliyozaliwa sikumbuki!! 😂😂😂
Bday ya Tayana anazaliwa pamoja na Jesus.
Wewe muwekee pesa ya cake, kwangu utume ya vinywaji 😜
Tafuteni wa kutumia nao. Lingeni njoo na mr wakouliyemkimbia😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom