Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hivi unajua hata id yake nimeisahau!! Hebu ikumbuke tumuite tujue yuko wapi? Km kafichwa twende na polisi tukamtoe km yule diwani na Ashura
Ashura noma๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Id ndefu ngoja nitafute kwanza nitakuita
 
DSC_0017.JPG
 
Umesoma forest hill na humfahamu zungu?vuta picha aiseeh
Wewe weka picha, tuanze kutaja code wanaha waanze kuibuka na picha zetu inahusu?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Usije kuwa wewe ngoma nzito ๐Ÿคฃ
 
Wewe weka picha, tuanze kutaja code wanaha waanze kuibuka na picha zetu inahusu?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Usije kuwa wewe ngoma nzito ๐Ÿคฃ
Picha tu haina shida mama.

Hahaha Hiyo ngoma nzito hapana...naishi matombo,Hapa mjini Dar es salaam nimefika kwa lift ya trucks za mizigo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom