cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Kwann tenaa jomoneee?Siku hizi nimekua mvivu![]()
NdioKhaaah![]()
Aaaah ina maana hujui au embu tupia Tayana-wog 😁Napita
Kumbe Uzi umefufuliwa🤣🤣
Oyoooooo!! We udugu hii funga mwaka.
Mbona km umewazima midomo nyaku nyaku watu na mabebi zenu buana
Kwa kweli shem atupe muongozo wa pic tuone![]()



nyaku nyaku wa JF? tatizo shem ana mbambamba nyingiii.Ongezaaaa sautiiiiiii uduguuuu,Shem sikuwepo naomba urudie muongozo wa foto chap, kwanza ushemeji haufi weka foto hilo!!!
Sema nyie mfanye mrudiane nyie watu bado mnapendana![]()





Kwakweli Kwa usawa huu hiyo 5 USD inatutosha🤣Mahaba matamu aiseh,unayakataa?
Maisha Ndivyo yalivyo cha umuhimu ni kukaza kamba,mfanye kazi kwa bidii ila msitusahau hata 5USD ambao hatuko na kazi tunashinda JF😉.
Yeah tunaselfika ila bado sijaona hata ukucha wako humu.
Huo uchi kwioo! Mfyuuu! Ile siku ulisema utatubles hebu tetemesha uziii kwani!



kaa mkao wa kusubiriii.Nasemaje hawa Julieth na Romeo warudiane 🤣🤣🤣🤣Ongezaaaa sautiiiiiii uduguuuu,![]()
Wee irudie kwajili yangu puliiizzUmepitwa
Waambie waambieHuu Uzi hautaki story mjue!
Tupieni mvovaaa buana!🤠
Kama hapa hazifai, chembaMuongooo,![]()
Jmn niitie baby wangu shogareeOyoooooo!! 😍😍😍
Shem Mjep Embu kam zis wei coca ana ujumbe wako wa kwako peke yako!!
Mabebi zetu wale wale hatuna muda mchafu wa kubadilisha badilisha 🤣🤣
Halafu kumbe Miongozo alipita naked hukuniita nisafishe macho? Hukunitunzia pic kwan?😂😂😂
Shem naye tatizo usinipite mwokozi 😂😂😂nyaku nyaku wa JF? tatizo shem ana mbambamba nyingiii.
Kubadilisha sio shida zetu, tuko buzzy na ukuni mmoko tyuuh.Oyoooooo!!
Shem Mjep Embu kam zis wei coca ana ujumbe wako wa kwako peke yako!!
Mabebi zetu wale wale hatuna muda mchafu wa kubadilisha badilisha
Halafu kumbe Miongozo alipita naked hukuniita nisafishe macho? Hukunitunzia pic kwan?![]()





Umbeaaa xsieewAkiii shouzz amenistua mnoo,
Sikutegemea ujue.