Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

c55b1500-ddd0-4b34-97d8-0b171c712145.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada ameleta post nzuri ikikusudia MTU APOST ALICHOVAA YEYE
Ila watu wakaiharibu kwa kuanza kupost PICHA ZA VITU VYA AJABU AJABU na hata picha za warembo ambao wana post yao inayojitegemea.......na hii ndiyo hufanya watu wafeli mitihani hata ile mirahisi.....
 
Umeanza janja janja lini wewe?? Acha hizooo tubless kiuno nyigu hiko!
Nyigu si nyigu
Ni tembo cement sasa

Hebu madam tubless zile picha unasolve kemia,wale ndugu zetu janjajanja histori hakuna kuingia laboratory na wenzie akina Maghayo waone nyota kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom