Kichwa yako tu kimuonekano inadhihirisha๐คฃNa kweli watanijua ๐๐๐
Maana nilikuwa napenda hekaheka, ukitokea umbea hawasutani mpk niwepo ili kuchachua msuto
๐คฃniko kwa process ya ku verify u-Jf member so hizo dhambi sitaki na mwisho wa siku kuunganishiwa matukio sitaki kabisa hapa duniani.Me huwezi kunijua ngโo ๐๐๐
Kwanza kwann umefuta ile comment we mgombania mademu wa kigabachori kwa kutishia wenzio silaha?!!
Kweli sikuliwa bhana me nilikuwa muoga na michezo mibaya
Naijua hiyo hunipati ngโo ๐๐๐Kichwa yako tu kimuonekano inadhihirisha๐คฃ
Uko na nywele mingi now or low cut hairstyle?๐คฃ
Verify afu avatar uweke picha yako halisi niwe nakukumbushia mabalaa yako ๐๐๐๐คฃniko kwa process ya ku verify u-Jf member so hizo dhambi sitaki na mwisho wa siku kuunganishiwa matukio sitaki kabisa hapa duniani.
Warembo wa asia walikuwa wananikubali maana Kaka yako nilikuwa muhendisaaamuu ila siku hizi sijui umepotelea wapi๐คฃ,ndugu zao walikuwa wana-mind ,hizo ndio chanzo cha timbwili,kuna siku natoka na crew yangu tunaenda kuzichapa pale shani cinema near na kale ka daraja๐.
Uende bwalo na mchumba akuache hivi hivi,kweliiiii?
๐คฃ๐คฃ siku narudi kijijini ndio naweka kila kitu sawa hadi profile pic.Verify afu avatar uweke picha yako halisi niwe nakukumbushia mabalaa yako ๐๐๐
Umenikumbusha shani cinema dah! Na jioni pale posta kulikuwa kunamwagwa viatu vya mtumba vizuri!! Nilikuwa napenda kuvaa sketcher u dada du mwingi ๐คฃ
Nimefuta๐คฃWewe kunguru futa hii comment ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Nakuzingua me nilisoma gomz ulongoni๐คฃ๐คฃ siku narudi kijijini ndio naweka kila kitu sawa hadi profile pic.
Posta pale pale kwenye sidewalks zake? Sikuwahi kuona,ila pale kuanzia office za Tafori za zamani ndio huwa nilikuwa naona.
Hongera kusoma shule za watukutu
Sawa mtumishi wa bwana tumeona
Kweli hii naked, dr uko vizuri
Sijawahi kuwa na mabaya, sema nilikuwa dada mmoja mstaarabu sana ๐Nimefuta๐คฃ
Unaweza kuniruhusu kuelezea dhambi zako za social hall ?
Hiyo inbobo bado tu....Ewaaaa! Subiri inbobo.
Shem tena kwa nan?Kumekucha kumekucha ๐๐๐
Mzee wa kupita naked!! Coca shem anakuita
๐๐๐๐๐
Balikiwa sanaAwww handsome