Anyway ni kitabu gani hicho unasoma kaka?
Sio vizuri kumuita binadamu mwenzako " hilo". Yeye sio mnyama.
Who think? Do Black people realy "think" ?
Anyway ni kitabu gani hicho unasoma kaka? Halafu kuna tetesi zimeenea katika jiji la Dar Es salaam na vitongoji vyake kwamba wewe ndio Nyani Ngabu, kuna ukweli gani katika hilo?
Answer the question first!!!
LIKUD anaweza kuwa ndio benzino hii ni overpromotingKote huko kwenye magari ya watu binafsi, daladala na bodaboda umepita saa ngapi?
Acha kamba bwana, hata kama unamfanyia promo teja, tafuta namna ambayo maneno yako yatakuwa yakikaribiana na ukweli.
Lil brother, what u cant c here is that, i am trying to show how positive minded i am. As a right thinking person,i have to appreciate other people's work. U cannot because you are a negative minded person. Are u in school?
In the Blue colour, I Might be your father as well,
In Red colour, It is none of your business sir/Madam.
Okay, am not sure if i realy think.
Thinking is the act of using the mind to produce rational judgment or results.
Inaweza ikabamba sababu ya Jina lake na sababu ya masahibu yaliyomkuta lakini sio sababu ya uzuri..., kwahio wewe unaweza ukaiweka hii kwamba ndio kazi yake bora kuliko nyingine ?
https://www.youtube.com/watch?v=cFkTC3ASw-M Dar es Salaam Stand Up
https://www.youtube.com/watch?v=3giG_HKMzhA Raha za Dunia Mashaalah ft Mzee Yusuf
Hizo hapo juu ndio kazi alizofanya kazi.... nyingine ni kelele tu na muunganiko wa maneno