Umeusikia wimbo mpya wa Chidi Benz ?

Umeusikia wimbo mpya wa Chidi Benz ?

Wa Kawaida tu....

Nadhani kazi za Dar es Salaam Stand Up na angalau Mashallah ndio alifanya kazi...
 
Wa Kawaida tu....

Nadhani kazi za Dar es Salaam Stand Up na angalau Mashallah ndio alifanya kazi...

Ngoma iko poa sana kaka, halafu inabamba sana mitaani. Ngoma imetoka jana tu ila leo, ngoma inapigwa kila kona na watu wanaonyesha kuikubali sana. Kuanzia kwenye magari binafsi, bodaboda, daladala etc. Ngoma iko poa sana.Asipo fanyiwa fitna, itakuwa hit sana.
 
Kumbe na wewe umo kwenye hizi nyimbo za vijana wa .com
 

Lil brother, what u cant c here is that, i am trying to show how positive minded i am. As a right thinking person,i have to appreciate other people's work. U cannot because you are a negative minded person. Are u in school?
 

Ngoma iko poa sana kaka, halafu inabamba sana mitaani. Ngoma imetoka jana tu ila leo, ngoma inapigwa kila kona na watu wanaonyesha kuikubali sana. Kuanzia kwenye magari binafsi, bodaboda, daladala etc. Ngoma iko poa sana.Asipo fanyiwa fitna, itakuwa hit sana.

Inaweza ikabamba sababu ya Jina lake na sababu ya masahibu yaliyomkuta lakini sio sababu ya uzuri..., kwahio wewe unaweza ukaiweka hii kwamba ndio kazi yake bora kuliko nyingine ?

https://www.youtube.com/watch?v=cFkTC3ASw-M Dar es Salaam Stand Up

https://www.youtube.com/watch?v=3giG_HKMzhA Raha za Dunia Mashaalah ft Mzee Yusuf

Hizo hapo juu ndio kazi alizofanya kazi.... nyingine ni kelele tu na muunganiko wa maneno
 
Inaweza ikabamba sababu ya Jina lake na sababu ya masahibu yaliyomkuta lakini sio sababu ya uzuri..., kwahio wewe unaweza ukaiweka hii kwamba ndio kazi yake bora kuliko nyingine ?

https://www.youtube.com/watch?v=cFkTC3ASw-M Dar es Salaam Stand Up

https://www.youtube.com/watch?v=3giG_HKMzhA Raha za Dunia Mashaalah ft Mzee Yusuf

Hizo hapo juu ndio kazi alizofanya kazi.... nyingine ni kelele tu na muunganiko wa maneno

Upo right kaka, kazi zake za nyuma ziko poa, hii pia iko poa.
 
kajitahidi sana chid benz, ila aache bange
 
Kote huko kwenye magari ya watu binafsi, daladala na bodaboda umepita saa ngapi?
Acha kamba bwana, hata kama unamfanyia promo teja, tafuta namna ambayo maneno yako yatakuwa yakikaribiana na ukweli.

Ngoma iko poa sana kaka, halafu inabamba sana mitaani. Ngoma imetoka jana tu ila leo, ngoma inapigwa kila kona na watu wanaonyesha kuikubali sana. Kuanzia kwenye magari binafsi, bodaboda, daladala etc. Ngoma iko poa sana.Asipo fanyiwa fitna, itakuwa hit sana.
 
Kote huko kwenye magari ya watu binafsi, daladala na bodaboda umepita saa ngapi?
Acha kamba bwana, hata kama unamfanyia promo teja, tafuta namna ambayo maneno yako yatakuwa yakikaribiana na ukweli.

Amepiga kamba hata mtoto wa darasa la pili anashtuka
 
Kote huko kwenye magari ya watu binafsi, daladala na bodaboda umepita saa ngapi?
Acha kamba bwana, hata kama unamfanyia promo teja, tafuta namna ambayo maneno yako yatakuwa yakikaribiana na ukweli.


Umeniwahi kuuliza hili swali!
 
Ulivyoupa promo huo wimbo nikafanya fasta kuudownload, nilivyousikiliza sikuamin kama huo wimbo ndo umeupenda kiasi hicho kweli mapenzi ni upofu. Chorus yenyewe ya wimbo inamaneno haya "NAKINUKISHA KAMA KIMBA" just imagine verse itakuwaje. Anyway, nilikuwa napita tu
 
Ulivyoupa promo huo wimbo nikafanya fasta kuudownload, nilivyousikiliza sikuamin kama huo wimbo ndo umeupenda kiasi hicho kweli mapenzi ni upofu. Chorus yenyewe ya wimbo inamaneno haya "NAKINUKISHA KAMA KIMBA" just imagine verse itakuwaje. Anyway, nilikuwa napita tu

Chid anafanya muziki mgumu, mashabiki wake tunamkubali kama Mc anayefanya muziki mgumu, chorus zake nyingi huwa ni za kuchana. Hebu imagine upo klabu umewaka alafu linapigwa dude kama hilo...Be honest kaka, hili dude la ukweli sana.
 
Never impressed. Midawa ule wewe, lawama uwape wengine.
 
Never impressed. Midawa ule wewe, lawama uwape wengine.

Haulali kaka? saa tisa usiku sasa? Anyways nilijisahau kumbe ni kiranga, najua utakuwa unasoma kitabu muda huu. Uko page ya 479 kama sikosei!!!!!
 
Haulali kaka? saa tisa usiku sasa? Anyways nilijisahau kumbe ni kiranga, najua utakuwa unasoma kitabu muda huu. Uko page ya 479 kama sikosei!!!!!

Saa tisa usiku wapi?

Na unajuaje kwamba leo siko Sydney Australia?
 
Saa tisa usiku wapi?

Na unajuaje kwamba leo siko Sydney Australia?

Anyway ni kitabu gani hicho unasoma kaka? Halafu kuna tetesi zimeenea katika jiji la Dar Es salaam na vitongoji vyake kwamba wewe ndio Nyani Ngabu, kuna ukweli gani katika hilo?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom