Umesoma vitabu gani mwaka 2019?

Nimesoma kitabu cha ilani ya chama
Umenikumbusha mbali kweli,mpaka kwa katiba Za vyama ACT,CHADEMA & CCM.


Sasa hivi vijana wengi mtaani kwetu wapo na kadi za Ccm kwa kuwa kunafrusa kibao wao wadai.


Tukiwa tunapiga soga za vijana za hapa na pale,Kijana mmoja nikamuuliza,Ahadi ya nane 8 Ya Mwanachama inasema:

-Nitasema Kweli Daima,Fitna kwangu Mwiko"....Kweli ni nini...???


Jamaa mmoja ambaye si mwanachama hata kidogo akanambia wewe bwana wacha Kutuletea Pontius Pilate gavana katili wa kirumi Au Diogenes wa sinope.

Nikamjibu, next decade Tutakuwa na Ma'Wicked & Unscrupulous Politicians Kibao.

Akakandamizia siasa zetu lazima ujivue ubongo na utu,lasivyo utaonekana habari ya jana iliyochacha kwa Mama ntilie.


Nikwambia basi ngoja kwa nyakati hizi nikaepembeni huku nikijipoza na Ugali wa Nature(Kukataa Ugali si U-bossi Sana sana ni Ujinga)
 
Pamoja na changamoto za hapa na Pale nilifanikiwa kusoma vitabu kadhaa.

1.Nothing To Envy:Ordinary lives in North Korea By Barbara Demick.

2.The Jewish Revolutionary:Jewish Statehood By Isreal Eldad.

3.21 Lessons for the 21 Century By yuvan Noah Harari.

4.Zealots: The Life & Times of Jesus of Nazareth By Reza Aslan.

5.Aesop Fables:Hiki nakisoma karibia kila Mwaka.

6.The Road Ahead By Bill gates.

7. Jesus Seminar: The deeds & Saying of Jesus of Nazareth.

8.The Dialogue in Hell Btn Machiavelli & Montesquie.

9.The Prince by Nicolo Machiavelli.

10.Fakes:Fake Money,Fake Teachers,Fake Assets By Robert Kiyosaki.

11.Behind The Presidential Curtain:paul kagame By Nobel Marara.

12.The Malleus Maleficarum.

13.Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana 1996.
 
60 YEAR BOOK CHALLENGE

QUARTER ONE BOOKS
1.Bad blood-John carreynue
2.21lessons for 21st century- yuan Noah Marari
3.Factfulness-Hans Rosling
4.Emergency viruses (AIDS&EBOLA)..Nature &accident or intention-Leonard Herowitz
5.Opereshioni panama-Japhet nyamongo
6.50th law-50CENT&Robertgreene
7.JACKSONINC-ZACK.O.MARLEY
8.The10timesrule-Grant cardone
9.Dead aid-Dambisa Mayo
10.Built to last-Jim Collins
11.The amaizing S.A.S-Ian Macphedran
12.The7 habit of highly effective people--Stephen covey
QUARTER 2 BOOKS
13.The wolf of wall street-jordan belfort
14.The art of war-SunTzu
15.Behind presidential curtain-Noble malala
16.The adventureof TinTin in the land of soviety-TinTin
17.I can I must I will(spirit of successz)-Reginald Mengi
18.The intelligent investor-Benjamin graham
19.Around the way giel-Taraj henson
20.Tanzania industrialization journey-A.A.mafuruki,Rahim Mawji
21.Freshwater Aquariu, for dummies-Maddy hargrove
22.The powet of habits-brian tracy
23.International konetary report on tanzania-imf
24.Richest men inBabyron-George s
25.Delivering happiness-Tonny hsieh
26.shoe dog-Phil knight
27.sales bible-Geffrey Gitommer
QUARTER 3 BOOKS
28.The subtle art of not giving a ****-Mat manson
29.Why great man fall-wayde Goodal
30.Allan quartemanrider Haggard
31.Secret-Rhonda bryne
32.The monk who sold his ferrari-Robin sharma
33.Who moved my cheese-spencer Johnson
34.Socrates in 90 minutes-paul Strathen
35.The 5 second rule-Mel robbinson
36.Truth doesnt have a side-Dr Bennet Ommaru
37.China Diplomacy and economic activities in Africa-Anja Rahtinen
38.Dictatorland (The man who stole Africa)-Paul Kenyon
Ntakuja na quarter 4 mwiaho wa mwaka aim ni kusoma vitabu 60 hadi sasa nmesoma vitabu 49 katika mafanikio makubwa nnayojivunia moja wapo ninkufikia lengo la hivi vitabu imeniongezea maarifa mengi sana.....Imefikia kipindi mwaka unaelekea wa 2 huu sijagusa tv Big up kwa zitto kabwe mwaka juzi niliposoma waraka wake wa vitabu alivyosoma niliona kama uchawi akanipa mshawasha wa kujaribu ?.....niseme tu watanzania tunapoteza kikubwa sana kwa kutosoma vitabu..hapo nahisi ndo mzungu alipotuzidi..fikiri matajiri wakubwa wote duniani kama bill gates, warren buffet mark zwarberger na wengine pamoja na ubize na pesa nyingi ila wanasoma si chini ya vitabu 50 kwa mwaka....Watanzania tuongeze juhudi katika hili
Hongera sana kiongozi, me nimesoma 20 tu. Nitakuja na list kesho.
 
Ahaa..ahaa... mkuu uko vizuri, naomba soft copy yake. Kama ni cha siri sana; ni PM. Aksante!
Hamna kinachokosekana online ni jinsi ya kutafuta tu..pate uhondoo
 

Attachments

  • [William_Powell]_The_Anarchist_Cookbook(z-lib.org).pdf
    14.3 MB · Views: 19
What are the Disadvantage of reading books...???
Zipo disadvantage nyingi sana kwa kusoma vitabu
Moja unaweza kupoteza mitazamo yako ya awali kuhusu imani na watu,
Inaweza kukujenga ukawa katili
Ukaingia kwenye mitazamo tofauti eg ushoga,
Unaweza kugundua mbinu za maangamizi,
Lakini unaweza kuwa addicted na vitabu ukapoteza muda wa kufanya mambo mengine na mengine mengi
 
Zipo disadvantage nyingi sana kwa kusoma vitabu
Moja unaweza kupoteza mitazamo yako ya awali kuhusu imani na watu,
Inaweza kukujenga ukawa katili
Ukaingia kwenye mitazamo tofauti eg ushoga,
Unaweza kugundua mbinu za maangamizi,
Lakini unaweza kuwa addicted na vitabu ukapoteza muda wa kufanya mambo mengine na mengine mengi
Aisee ..ngoja nihifadhi mawazo yangu..nadhani umetendea haki ubongo wako
 
Hamna kinachokosekana online ni jinsi ya kutafuta tu..pate uhondoo
Mkuu kama inawezekana na mie pdf ya hiki kitabu.
download%20(1).jpeg
 
salama wakuu, kwanza naomba kupropose kuwa tarehe 9 desemba kila mwaka uwe mwanzo wa kujadili usomaji wetu wa vitabu wa mwaka husika huku tukisherekea uhuru wa kifikra utokanao na usomaji na pia sababu tunahitaji muda wa kujadili kabla mwaka hujaisha. Kama mods wataona inafaa wawe wanatuwekea uzi kila 12/9
1.Born a crime by Trevor Noah. Hiki kitabu kinazungumzia maisha na makuzi ya comedian Trevor Noah wakati wa ubaguzi wa rangi huko sauzi. Kilitajwa sana mwaka jana, nikaona nikisome maana namkubali sana Noah, ni kitabu poa sana.
View attachment 1286234
2.Asia's Cauldron: The south China sea and the end of a stable pacific. Hiki kinaelezea mgogoro wa bahari ya kusini China, nchi zinazohusika na nafasi ya Marekani kwenye huo mgogoro. Ni kizuri kama upo interested na hiyo ishu.

View attachment 1286227
3.Out of the Gobi: my story of China and America bya Weijian Shan Kinazungumzia maisha ya huyu bwana kwenye China ya Mao hadi kuwa Prof US. Kizuri sana, Na kinamatukio mengi ya kusisimua, kushangaza, kuhuzunisha na kuchekesha.

View attachment 1286238
4.China's Disruptors. Hiki kinazungumzia jinsi makampuni binafsi, hasa ya tech yanavyoibadilisha China. Pia kinaeleza kwa kirefu mazingira ya biashara China. Nilikipenda.
View attachment 1286241
5.AI superpowers:China, Silicon valley and the New world order.Mwandishi anaeleza historia na applications za artificial intelligence, pia anaeleza jinsi China ilivyo kwenye nafasi nzuri ya kuwa AI superpower. Nimejifunza Mengi kuhusu AI.
View attachment 1286239
6.The Yom Kippur war: The epic encounter that tranformed the middle east. Vita ya 1973 kati ya Israel dhidi ya Misri na Syria.
View attachment 1286244
7.Sapiens: A brief history of humankind by Yuval Noah, niliona kimetajwa mwaka jana, ni kitabu kizuri sana na kimejadiliwa sana humu.

View attachment 1286256
8.The Alchemist: bonge la kakitabu, nilikuwa nakapita, ila baada ya kutajwa sana mwaka jana ikabidi nikasome.
View attachment 1286247
9.The great mortality. Hiki kinazungumzia jinsi bubonic plague(Tauni) ya 1340-1400 ilivyoua watu huko Ulaya na matokeo yake kwa jamii.
View attachment 1286242
10.Baada ya kusoma hicho hapo nikasema nijifunze na Spanish flu, nikaanza kusoma,The great influenza. Hiki sijamaliza na sijui kwanini, maana ni kitabu kizuri sana, kinazungumzia mabadiliko ya medical education huko US, Mabadiliko(mutation) ya virusi vya mafua, mapambano dhidi ya milipuko ya mafua. Natumaini ntakimaliza mwakani.
View attachment 1286271
11.The last black unicorn by Tiffany Haddish, Ni memoir ya huyu comedian, sehemu zingine kipo deep.
View attachment 1286275
12.Is everyone hanging out without me by Mindy Kaling. Namkubali sana huyu comedian, nikaona nimsome nicheke, hakuniangusha.
View attachment 1286274
13. Katika kusoma comedy nikakutana na a confederacy of dunces nipo nusu, kizuri sana.
View attachment 1286273
14.Nilikuwa natafuta SciFi series ya kusoma. Nikapata The expanse nimesoma kitabu cha kwanza, Leviathan wakes. imeanza vizuri na ni ya tofauti sababu imejikita ndani ya solar system kwahiyo inakuwa kama halisi hivi.
View attachment 1286290

15. Kaptula la Marx. Nilikipata kwenye uzi wa GuDume kuhusu hiki kitabu. Nafikiri hii play ni timeless japo sidhani kama tutaweza kuiona majukwaani.
View attachment 1286278
16. The truth about Muhammad. Kinaelezea uhusiano wa islamic extremists na matendo/mafundisho ya mtume, Ila kimenifanya nimheshimu Muhammad kama kiongozi na kamanda.
View attachment 1286825
17.Democracy, The God that failed. Hiki bado nakisoma, kinavutia kusoma sababu kinatoa mawazo mageni mbali na nilivyozoea kufikiri.
View attachment 1286817




Nimesoma vitabu vingi baada ya kutajwa wadau humu, nimeanza kusoma The gulag Archipelago baada ya kutajwa humu Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Karibuni kwenye mjadala wakuu, wachache kwa kuwataja Malcom Lumumba Alisina Calfornia Kiranga @D vincci. karibuni nyote.
Mkuu mie nilipitia na hiki kitabu ni kizuri japo sijakimaliza.
download.jpeg
 
Pamoja na changamoto za hapa na Pale nilifanikiwa kusoma vitabu kadhaa.

1.Nothing To Envy:Ordinary lives in North Korea By Barbara Demick.

2.The Jewish Revolutionary:Jewish Statehood By Isreal Eldad.

3.21 Lessons for the 21 Century By yuvan Noah Harari.

4.Zealots: The Life & Times of Jesus of Nazareth By Reza Aslan.

5.Aesop Fables:Hiki nakisoma karibia kila Mwaka.

6.The Road Ahead By Bill gates.

7. Jesus Seminar: The deeds & Saying of Jesus of Nazareth.

8.The Dialogue in Hell Btn Machiavelli & Montesquie.

9.The Prince by Nicolo Machiavelli.

10.Fakes:Fake Money,Fake Teachers,Fake Assets By Robert Kiyosaki.

11.Behind The Presidential Curtain:paul kagame By Nobel Marara.

12.The Malleus Maleficarum.

13.Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana 1996.
Hongera sana mkuu, ukiachana na vya Yesu. vipi, viwili unapendekeza?
 
60 YEAR BOOK CHALLENGE

QUARTER ONE BOOKS
1.Bad blood-John carreynue
2.21lessons for 21st century- yuan Noah Marari
3.Factfulness-Hans Rosling
4.Emergency viruses (AIDS&EBOLA)..Nature &accident or intention-Leonard Herowitz
5.Opereshioni panama-Japhet nyamongo
6.50th law-50CENT&Robertgreene
7.JACKSONINC-ZACK.O.MARLEY
8.The10timesrule-Grant cardone
9.Dead aid-Dambisa Mayo
10.Built to last-Jim Collins
11.The amaizing S.A.S-Ian Macphedran
12.The7 habit of highly effective people--Stephen covey
QUARTER 2 BOOKS
13.The wolf of wall street-jordan belfort
14.The art of war-SunTzu
15.Behind presidential curtain-Noble malala
16.The adventureof TinTin in the land of soviety-TinTin
17.I can I must I will(spirit of successz)-Reginald Mengi
18.The intelligent investor-Benjamin graham
19.Around the way giel-Taraj henson
20.Tanzania industrialization journey-A.A.mafuruki,Rahim Mawji
21.Freshwater Aquariu, for dummies-Maddy hargrove
22.The powet of habits-brian tracy
23.International konetary report on tanzania-imf
24.Richest men inBabyron-George s
25.Delivering happiness-Tonny hsieh
26.shoe dog-Phil knight
27.sales bible-Geffrey Gitommer
QUARTER 3 BOOKS
28.The subtle art of not giving a ****-Mat manson
29.Why great man fall-wayde Goodal
30.Allan quartemanrider Haggard
31.Secret-Rhonda bryne
32.The monk who sold his ferrari-Robin sharma
33.Who moved my cheese-spencer Johnson
34.Socrates in 90 minutes-paul Strathen
35.The 5 second rule-Mel robbinson
36.Truth doesnt have a side-Dr Bennet Ommaru
37.China Diplomacy and economic activities in Africa-Anja Rahtinen
38.Dictatorland (The man who stole Africa)-Paul Kenyon
Ntakuja na quarter 4 mwiaho wa mwaka aim ni kusoma vitabu 60 hadi sasa nmesoma vitabu 49 katika mafanikio makubwa nnayojivunia moja wapo ninkufikia lengo la hivi vitabu imeniongezea maarifa mengi sana.....Imefikia kipindi mwaka unaelekea wa 2 huu sijagusa tv Big up kwa zitto kabwe mwaka juzi niliposoma waraka wake wa vitabu alivyosoma niliona kama uchawi akanipa mshawasha wa kujaribu ?.....niseme tu watanzania tunapoteza kikubwa sana kwa kutosoma vitabu..hapo nahisi ndo mzungu alipotuzidi..fikiri matajiri wakubwa wote duniani kama bill gates, warren buffet mark zwarberger na wengine pamoja na ubize na pesa nyingi ila wanasoma si chini ya vitabu 50 kwa mwaka....Watanzania tuongeze juhudi katika hili
QUARTER 4 BOOKS

39.Hurricane A memoir-Rick Ross

40.The Huawei story-Tian Tao wit WUcHUNBO

41.The Autobiography of GUCCI MANE with Neil-Martinez-Belkin

42.TIM COOK:The genious who took aple to next level-John Ive

43.My Journey into AI-KAI Fu Lee

44.New confession of economic hitman-John Perkins

45.Mind your mind-Remez sasson

46.The Psychological werfare-Michael stevens

47.The prince-Nocollo Machiaveli

48.Rosa Mistika-Euphrase Kezilahabi

50.Conversation with myself-Nelson Mandela(still on it)

51.Kaptula la marx-Euphrasia Kezilahabi
52.Kochland(The secret history of Koch industries and corporate power in America)-christopher leornard

BAdo naendelea mdogo mdogo
 
salama wakuu, kwanza naomba kupropose kuwa tarehe 9 desemba kila mwaka uwe mwanzo wa kujadili usomaji wetu wa vitabu wa mwaka husika huku tukisherekea uhuru wa kifikra utokanao na usomaji na pia sababu tunahitaji muda wa kujadili kabla mwaka hujaisha. Kama mods wataona inafaa wawe wanatuwekea uzi kila 12/9
1.Born a crime by Trevor Noah. Hiki kitabu kinazungumzia maisha na makuzi ya comedian Trevor Noah wakati wa ubaguzi wa rangi huko sauzi. Kilitajwa sana mwaka jana, nikaona nikisome maana namkubali sana Noah, ni kitabu poa sana.
View attachment 1286234
2.Asia's Cauldron: The south China sea and the end of a stable pacific. Hiki kinaelezea mgogoro wa bahari ya kusini China, nchi zinazohusika na nafasi ya Marekani kwenye huo mgogoro. Ni kizuri kama upo interested na hiyo ishu.

View attachment 1286227
3.Out of the Gobi: my story of China and America bya Weijian Shan Kinazungumzia maisha ya huyu bwana kwenye China ya Mao hadi kuwa Prof US. Kizuri sana, Na kinamatukio mengi ya kusisimua, kushangaza, kuhuzunisha na kuchekesha.

View attachment 1286238
4.China's Disruptors. Hiki kinazungumzia jinsi makampuni binafsi, hasa ya tech yanavyoibadilisha China. Pia kinaeleza kwa kirefu mazingira ya biashara China. Nilikipenda.
View attachment 1286241
5.AI superpowers:China, Silicon valley and the New world order.Mwandishi anaeleza historia na applications za artificial intelligence, pia anaeleza jinsi China ilivyo kwenye nafasi nzuri ya kuwa AI superpower. Nimejifunza Mengi kuhusu AI.
View attachment 1286239
6.The Yom Kippur war: The epic encounter that tranformed the middle east. Vita ya 1973 kati ya Israel dhidi ya Misri na Syria.
View attachment 1286244
7.Sapiens: A brief history of humankind by Yuval Noah, niliona kimetajwa mwaka jana, ni kitabu kizuri sana na kimejadiliwa sana humu.

View attachment 1286256
8.The Alchemist: bonge la kakitabu, nilikuwa nakapita, ila baada ya kutajwa sana mwaka jana ikabidi nikasome.
View attachment 1286247
9.The great mortality. Hiki kinazungumzia jinsi bubonic plague(Tauni) ya 1340-1400 ilivyoua watu huko Ulaya na matokeo yake kwa jamii.
View attachment 1286242
10.Baada ya kusoma hicho hapo nikasema nijifunze na Spanish flu, nikaanza kusoma,The great influenza. Hiki sijamaliza na sijui kwanini, maana ni kitabu kizuri sana, kinazungumzia mabadiliko ya medical education huko US, Mabadiliko(mutation) ya virusi vya mafua, mapambano dhidi ya milipuko ya mafua. Natumaini ntakimaliza mwakani.
View attachment 1286271
11.The last black unicorn by Tiffany Haddish, Ni memoir ya huyu comedian, sehemu zingine kipo deep.
View attachment 1286275
12.Is everyone hanging out without me by Mindy Kaling. Namkubali sana huyu comedian, nikaona nimsome nicheke, hakuniangusha.
View attachment 1286274
13. Katika kusoma comedy nikakutana na a confederacy of dunces nipo nusu, kizuri sana.
View attachment 1286273
14.Nilikuwa natafuta SciFi series ya kusoma. Nikapata The expanse nimesoma kitabu cha kwanza, Leviathan wakes. imeanza vizuri na ni ya tofauti sababu imejikita ndani ya solar system kwahiyo inakuwa kama halisi hivi.
View attachment 1286290

15. Kaptula la Marx. Nilikipata kwenye uzi wa GuDume kuhusu hiki kitabu. Nafikiri hii play ni timeless japo sidhani kama tutaweza kuiona majukwaani.
View attachment 1286278
16. The truth about Muhammad. Kinaelezea uhusiano wa islamic extremists na matendo/mafundisho ya mtume, Ila kimenifanya nimheshimu Muhammad kama kiongozi na kamanda.
View attachment 1286825
17.Democracy, The God that failed. Hiki bado nakisoma, kinavutia kusoma sababu kinatoa mawazo mageni mbali na nilivyozoea kufikiri.
View attachment 1286817




Nimesoma vitabu vingi baada ya kutajwa wadau humu, nimeanza kusoma The gulag Archipelago baada ya kutajwa humu Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Karibuni kwenye mjadala wakuu, wachache kwa kuwataja Malcom Lumumba Alisina Calfornia Kiranga @D vincci. karibuni nyote.
Mkuu una soft copy ya hiyo a Confederacy of dunces?...
 
Vitabu nilivyosoma mwaka Jana...
1. Vuta n' Kuvute
2. Pili Pilipili
3. Rage of Angels
4. You Find Him I'll Fix Him
5. We'll Share a Double Funeral
6. The Thirty Nine Steps
7. Oliver Twist
8. Titi La Mkwe
9. Tausi wa Alfajiri
10. Je, Tutarudi na Roho Zetu
11. Treasure Island
 
Vitabu nilivyosoma mwaka Jana...
1. Vuta n' Kuvute
2. Pili Pilipili
3. Rage of Angels
4. You Find Him I'll Fix Him
5. We'll Share a Double Funeral
6. The Thirty Nine Steps
7. Oliver Twist
8. Titi La Mkwe
9. Tausi wa Alfajiri
10. Je, Tutarudi na Roho Zetu
11. Treasure Island
Hivo vitabu vya kiswahili softcopy navipataje
 
Back
Top Bottom