'Idadi ya vitabu ulivyosoma'; Mantiki yake hasa ni nini?

thatHUMBLEguy

JF-Expert Member
Nov 25, 2023
223
522
Screenshot_20231229-110007.jpg

Binafsi napenda sana kujisomea. But, bado sijawahi elewa kwanini wasomaji wenzangu wana huu utamaduni wa kuset malengo ya kusoma Idadi fulani ya vitabu kwa mwaka. I find the whole idea as flawed sababu unaufanya usomaji kuwa racing and not grasping the knowledge!

Mfano, ukiweka malengo ya kusoma vitabu 50, maana yake ni vitabu vi4 kwa mwezi. Kila wiki kitabu kimoja. Hii itakufanya usome kwa speed ili tu ufikie malengo yako. I'm sure knowledge-wise, hutakua unafanya chochote. Mfano, mwaka juzi, nilisoma kitabu cha Atomic Habit. Nilikirudia mara tatu, kwa takribani mwezi mzima I was just reading the same book. Sababu ya ideas ambazo nilikuwa nazipata na kuzifanyia reflections.

Kuweka malengo ya idadi ya vitabu vya kusoma, mantiki hasa nini?
 
Nadhani ni wale intelligent people ambao akisoma kitu anaelewa na hasahau.
Nasikia Elon Musk ana photographic memory hivyo anaweza soma kitabu muda mfupi sana.
Halafu ukiisha soma vitabu vingi unakuwa unakuta muingiliano wa Ideas hivyo haikulazimu usome mda mrefu.
Mfano Rich Dad poor dad na Think and grow rich na How to be rich by Trump, vuote principle za utajiri unafanana tofauti ni approach hivyo ukidoma kitabu kimoja kingine utakisoma kwa muda mfupi sana.
Mwanafalsa wa kihinfi OSHO yeye anasema alisoma vitabu laki moja baadae akaacha maana akawa haoini kopya japo watu wanahoji alisomaje vitabu laki moja huku akifanya majukumu mengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom