Umesoma vitabu gani mwaka 2016?

Umesoma vitabu gani mwaka 2016?

Nimesoma
1. Eat that frog by Brian tracy
2. The richest man in babyloan cha George samwel clason
Ndugu zangu nashauri someni hivyo vitabu. These are books you must read in your lifetime.
hicho cha brian nimekianza jana kesho kutwa ntamaliza panapo majaliwa,kipo murua sana
 
When it comes to last year's 'read', I wish I could ask for my money back from the YR 2016.
Just a few.

Hard Choices. Hillary R. Clinton.
Memoir ya Hillary C. Katika miaka 4 aliyokuwa Sec.of State. Maamuzi aliyofanya na ugumu wake wakati vita vilikuwa vinaendelea in the middle E. na jinsi hali uchumi wa dunia kwa ujumla ilivyokuwa in crisis, Democrats walivyoshinda WH 2008. It's fascinating. (I'll revisit)

Game Change. (John H and Mark H)
Shughuli iliyokuwa inaendelea behind the scenes, kati ya Obama&the Clintons, McCain&Palin, wakati wa campaign za uchaguzi 2008.

Eat, Love Pray. Elizabeth Gilbert.
A woman's soul serching in Italy, India, Indonesia.

A Girl's Guide to Moving On. (Debbie Macomber)
This's self explanatory. 🙂

French Women Don't Get Fat. Mireille Guiliano.
A non diet book with recipes. Kuhusu French Women, utayarishaji wa vyakula vyao and how they enjoy their food while staying slim and healthy. For foodie(s) and those interested in eating, drinking and a lifestyle of French women, It's one of the best bet.
My fav. 🙂
mkuu njoo inbox nikupe email unitumie
 
  • Thanks
Reactions: kui
Masoic evolutionary, demoneaan,truth about shape of the earth,
 
Ulivyojibu kiupole sasa!!
Hauamini majicho yako kuwa hatukisomi, teh teh teeeeh!
Hebu tutafutie cha kuwa mwanamke wa kiafrika,na kiwe kimetafsiriwa tafadhali.
Maana humo nguruka hakosekani.


Hahaha!, sawa bwana. Eti nguruka hakosekani...lol
Nimelipokea hili dongo, tena asubuhi kumeshakuwa kweupe. 😀
 
Hahaha!, sawa bwana. Eti nguruka hakosekani...lol
Nimelipokea hili dongo, tena asubuhi kumeshakuwa kweupe. 😀

Sasa bwana maduhu huku mashambani na huo ufaransa anaujulia wapi!!
Mwisho atanishangaa "hili toto nalilishaga lakini mbona hata halishibagi" usukumani hakuna ufaransa bwana.
 

Sasa bwana maduhu huku mashambani na huo ufaransa anaujulia wapi!!
Mwisho atanishangaa "hili toto nalilishaga lakini mbona hata halishibagi" usukumani hakuna ufaransa bwana.


Hahah!, kwa kuniweka kwenye mstari tu, hujambo.
Sasa jamani usukumani na Uafrika si tumeshajua, ndo maana tunajaribu kujua na ya wengine ati.

Heaven Sent nae si kama hao wafaransa sasa na huo u model wake, mbona yeye humpi kibano!
 
Hahah!, kwa kuniweka kwenye mstari tu, hujambo.
Sasa jamani usukumani na Uafrika si tumeshajua, ndo maana tunajaribu kujua na ya wengine ati.

Heaven Sent nae si kama hao wafaransa sasa na huo u model wake, mbona yeye humpi kibano!
Sasa huo ufaransa nitaweza kunyanyua jembe kulima jaruba?
Huyu mtoto sijui ni utapiamlo au nini, nishachoka nakaangalia tu.
 
Back
Top Bottom