mkuu naomba na mimi kama hutojariNimesoma vitabu vifuatavyo
1. The da vinc code
2. The alchemist
3. The strong man putin
4. Animal farm
5. The history of christianity
6. Perfumed Garden
Vyote ninavyo kwa pdf kwa anayehitaji.
nitumie email pmmkuu naomba na mimi kama hutojari
Nonde hii iliyokuwa chini ya Diwani Godius G Mwambasi, hii iliyopakana na kata ya Majengo, Itiji, Nsoho, na Ghana!Red Giant my bro,
Xmas was in Nonde, I lost my bishdo on 24th, Xmas eve.
Asante kwa topic ya leo.
Vitabu.
Ukitaka kumficha siri mtu mweusi, iweke kitabuni.
Hatusomi ndio maana tu watu duni.
Tunajenga nyumba nzuri sana na hazina maktaba na ghala la kuhifadhia nafaka ( siongelei store mnakoweka makorokoro, spare zisizo na kazi, mafyekeo, matairi mabovu etc) Naongelea ghala la vyakula.
Mwaka huu nimesoma Vitabu vichache kabisa.
1. Nimesoma Biblia
2. Makuwadi wa Soko huria
3. Katiba inayopendekezwa
4. Secret of powers
5. Long walk to the freedom
6. Master of the game
7. Memories of midnight
8. From the distance
9. Learn from the best
My life in Crime, hiki kitabu nilikisahau kwa abiria mwenzangu wakati huo Scandinavia bus zipo kwenye soko..kama una soft copy ya hicho kitabu naomba msaada wa kukipata mkuu1.Gold fish have no hiding place..by james h. Chase
2.My life in crime..by John kiriamiti
3.Figure it out for yourself..James h.chase
4. Consider yourself dead..James h. Chase
5.I hold the four aces.James h. Chase
6.A leap of faith..Danielle steel
7.The first phone call from heaven..Mitch albom
Naomba nikipate PM ndugu yanguNinacho hapa mkuu,
Nikutumie PM ?
Una softcopy ya hiki kitabu?![]()
Hakuna makosa na wala sio bahati mbaya kuumbwa Mwafrika, na kuzaliwa Afrika.
Hajafanya Makosa Mwenyezi Mungu.
Asante kwa zawadi hii.
Sina soft copy...My life in Crime, hiki kitabu nilikisahau kwa abiria mwenzangu wakati huo Scandinavia bus zipo kwenye soko..kama una soft copy ya hicho kitabu naomba msaada wa kukipata mkuu
Me toomkuu naomba na mimi kama hutojari
Na mimi mkuunitumie email pm
Mkuu unaweza kuwa na soft copy ya vitabu hvyo?1.Utata wa 9/12 i&ii - Husein Tuwa
2.Haini -Shafi Adam Shafi
3.Msako - Japhet Nyang'oro Sudi
Sina nduguMkuu unaweza kuwa na soft copy ya vitabu hvyo?
Nataka vitabu vya computer na program zakdhabarini wakuu. mwaka umeisha na ni wakati wa kujitathmini na kushirikishana vitabu tulivyosoma na mambo yaliyomo. Mwaka huu sikuwa na usomaji mzuri sana. nimesoma vitabu vitatu na vingine sikumaliza.
1. The planet of slums na Mike Davis. kinazungumzia "anatomy'' ya majiji ya nchi masikini. umachinga, kufumuka kwa ulokole, kwanini si rahisi kuhamisha watu kutoka slums hata ukiwapa nyumba? nk.
![]()
2. The Prince na Niccolo Machiaveli. kinazungumzia mbinu za utawala.
![]()
3.Guns, gems and steel na Jarod Diamonds. hiki ndiyo namalizia kusoma. kinaelezea kwanini kuna tofauti ya maendeleo duniani. kimejikita kwenye sababu za msingi za kihistoria. kitabu kimoja bomba sana na kinaelimisha sana. Ahsante kui kwa kupendekeza hiki kitabu.
![]()
4.The great divide. hiki kinazungumzia tofauti za kiuchumi za wamarekani.sikukimaliza labda ntakisoma tena.
![]()
we umosoma vipi?
cc king kan, nyumba kubwa, MALCOM LUMUMBA, MSEZA MKULU, The Boss, Dark City
Umesoma kitabu/vitabu gani mwaka 2014?
Umesoma vitabu gani mwaka huu?