Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

dah! nishawahi mtia kelbu hiyo akainama chini akalia, akainuka akaondoka, hakuona simu yangu wala text siku hiyo mwenyewe akaja jumba la dhahabu, tukaongea mada zingine kabisa wala hakukumbushia ile ishu
 
hahahaaaa!! nilipigwa na butwaa maana lilikuwa la kustukiza, nikataka kurudishia nikawaza fasta nikaona nitalazwa kwa kipigo kitakachofuata!! nikawa mpole.
Hahaha ungerudisha tu jamani, ung'olewe meno
 
Wanawake wapo kama watoto...kuna wakati wanawashwa kupigwa,atakuwa anajibu ovyo,anaweza hata kukutukana,kulialia ovyo,anaweza fikia mahali hata akakupiga ili tu umkung'ute...ukimpiga ataliaaa halaf machozi yakikata moyo unakuwa safiii...Halaf unamkamata unamla kiukweli...moyo unakuwa kwatu!unamuona anarudi normal na mapenzi tele!
 
Back
Top Bottom