Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

mimi ni mpiganaji niliyesomea kupigana, uwezo wangu kupigana na watu wasiosomea kupigana ni waje watu watatu na kuendelea wanichangie na wawe na silaha ndio nitapata challenge akija mmoja au wawili wataenda ICU. zamani hizo za ujinga, nilishawahi kumpiga mke wangu mara nyingi sana, tena nikiwa na akili timamu sijalewa wala nini. nilikuwa mkatili sana.
ajabu yake, siku moja mke wangu alipokuwa kugungua nina mpenzi nje, na nimezaa naye hadi watoto, alinipa kipigo ajabu, na sikumrudishia hata kofi tu, nilikubali kupigwa vyovyote atakavyo kutokana na kosa nililolifanya, na yeye hakuwa ananipiga akifikiria ana nguvu kuliko mimi, alikuwa anapiga aondoe hasira. alinichapa aiseee...hahaha. kwa sasa tunapendana sana sana na tumeyasahau pamoja na kwamba mimi nilishampiga na yeye alishanipiga.
Hongera Lakin siku na yeye atakapokuchanganyia damu usirudie tena kumpiga maana,, mmeshalipiziana
 
mimi ni mpiganaji niliyesomea kupigana, uwezo wangu kupigana na watu wasiosomea kupigana ni waje watu watatu na kuendelea wanichangie na wawe na silaha ndio nitapata challenge akija mmoja au wawili wataenda ICU. zamani hizo za ujinga, nilishawahi kumpiga mke wangu mara nyingi sana, tena nikiwa na akili timamu sijalewa wala nini. nilikuwa mkatili sana.
ajabu yake, siku moja mke wangu alipokuwa kugungua nina mpenzi nje, na nimezaa naye hadi watoto, alinipa kipigo ajabu, na sikumrudishia hata kofi tu, nilikubali kupigwa vyovyote atakavyo kutokana na kosa nililolifanya, na yeye hakuwa ananipiga akifikiria ana nguvu kuliko mimi, alikuwa anapiga aondoe hasira. alinichapa aiseee...hahaha. kwa sasa tunapendana sana sana na tumeyasahau pamoja na kwamba mimi nilishampiga na yeye alishanipiga.
hii kiboko....mkuu mzidi kupendana tu
 
Niliwahi kupigwa tena kichapo heavy sitasahau,mdomo uliumuka kama ulimboka na sakata la madaktari,Ilibidi nizuge home kuwa nilivamiwa na vibaka,kisa cha kupigwa ni kwa sababu nilikuwa nimemchoka jamaa,alikuwa muhuni sijapata ona,tulikuwa tumepangwa kama mia 8 hivi,nilipoacha kujibu sms zake na simu alinifata hostel kuniuliza tatizo nini,nikamwambia nimeamua kumove on,asee alinipiga jamani,akanambia nichague kumuacha aniue ajiue na yeye,au nimsamehe kwa yote maisha yaendelee,ilibidi niwe mpole,nikamwambia nimekusamehe ili tu asiendelee kunipiga,Tulivyomaliza chuo nilitokaje ndukii?Nilichange mpaka phone No.ili tu asinipate khaa....Wanawake tunanyanyaswa sana
Pole sana. Lakini bahati mbaya wanaume wengi tunapata n.y.ege kwa ke kwa kumnyanyasa angalau kidogo. Yaani ile kuonyesha I am above her. Ukileta usawa sana basi tunapoteza hali ya umiliki na nye.g.ge. ila siungi mkono mateso yaliyopindukia.
 
Back
Top Bottom