Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Umeshawahi kupigwa na mpenzi wako?

Sijawahi kumpiga mwanamke kwenye maisha yangu....akiniudhi kupita maelezo nina principle yangu namuomba likizo ya kujitafakari hapo ndio byebye tena....najijua sipendi stress kabisa kwenye maisha yangu,maisha yangu yana dhamani kubwa kwanini nisumbuliwe na mtu..tena mwanamke muongeaji kupita maelezo na mjuaji kila kitu ndio namkinai mapema kabisa..kwanini nimpige mtoto ambae kazaliwa na mtu mwingine najisepea zangu tu
 
Sjawahi kupigwa kwa mkono ila nilishapigwa kwa vitendo unataman mtu akuwashe kibao yaishe na hakufanyi chochote
 
Mimi nikimpiga mpenzi wangu najisikia raha sana hata kama nilikuwa na hasira kutoka sehem yoyote zinaisha tena nikimpiga mpaka

"akasema utaniua mpenzi wangu"

Hapo kiroho changu safi(nawachukia sana mademu)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siku utakutana na demu wa kikenya atakupa kichapo mpaka uombe poo.
 
Sjawahi kupigwa kwa mkono ila nilishapigwa kwa vitendo unataman mtu akuwashe kibao yaishe na hakufanyi chochote
na mm ndo huwa nipo hivo..sitakupiga kwa mkono lkn ntafanya kitu ambacho ni bora ningekupiga yaishe...

napiga mind yako psychologically
 
na mm ndo huwa nipo hivo..sitakupiga kwa mkono lkn ntafanya kitu ambacho ni bora ningekupiga yaishe...

napiga mind yako psychologically
Ila inatesa hiyo du utajikuta unaongea peke yako ukiomba hela unapewa ukiomba mtoke mnatoka anawahi kurud afu umemkosea sasa mbona utalia mwenyewe aiseee
 
Ila inatesa hiyo du utajikuta unaongea peke yako ukiomba hela unapewa ukiomba mtoke mnatoka anawahi kurud afu umemkosea sasa mbona utalia mwenyewe aiseee
hahaaa..mkuu ndo mm huyo kabisaaaa..yani hata nikikukuta umeshikishwa ukuta me ntapita kama sikufahamu..sihitaji stress maisha yenyewr haya mafupi, nguvu za kukupiga bora nikazitumie kumpiga sound mtoto mwingne mkali zaidi yako
 
Nilishawahi kumpiga sna mwanamke mmoja jumamosi asubuhi baada ya mgegedo uliotukuka akaficha funguo nisiondoke...piga sana mangumi mateke kanyagia hapo chini mpaka anatoa ufunguo ameiva kwelikweli<br />Jioni yake ananitumia sms kibao za kuniomba msamaha<br />Nikamjibu moja tu "yameisha"<br />Baada ya siku tatu nikaenda kumcheki akaniambia ile siku uliyonipiga ndio nilijua unanipenda....nilichoka kwa kweli nyie wanawake khaaa!
 
Mimi nikimpiga mpenzi wangu najisikia raha sana hata kama nilikuwa na hasira kutoka sehem yoyote zinaisha tena nikimpiga mpaka

"akasema utaniua mpenzi wangu"

Hapo kiroho changu safi(nawachukia sana mademu)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wamekufanyaje mkuu hawa viumbe ?
 
Teh wanaishia kunihurumia tu.... Nikipigwa na kamwili kenyewe haka nitakufwa

Mpendwa yaaani kwa jinsi ulivyoongea nimejikuta tu mwili wangu wote umekuhurumia. Jamani naomba basi unitumie kapicha kwa PM ili nikaone hako kamwili ka rafikiangu Valentina aka Vale...
 
Niliwahi kupigwa tena kichapo heavy sitasahau,mdomo uliumuka kama ulimboka na sakata la madaktari,Ilibidi nizuge home kuwa nilivamiwa na vibaka,kisa cha kupigwa ni kwa sababu nilikuwa nimemchoka jamaa,alikuwa muhuni sijapata ona,tulikuwa tumepangwa kama mia 8 hivi,nilipoacha kujibu sms zake na simu alinifata hostel kuniuliza tatizo nini,nikamwambia nimeamua kumove on,asee alinipiga jamani,akanambia nichague kumuacha aniue ajiue na yeye,au nimsamehe kwa yote maisha yaendelee,ilibidi niwe mpole,nikamwambia nimekusamehe ili tu asiendelee kunipiga,Tulivyomaliza chuo nilitokaje ndukii?Nilichange mpaka phone No.ili tu asinipate khaa....Wanawake tunanyanyaswa sana


Pole sana....how can a man dare kumpiga mwanamke?! Not right at all
 
Back
Top Bottom